Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Kati ya watu wanaoheshimika ndani ya CCM ni Kingunge Ngombare Mwiru. Leo katika mahojiano na mwandishi wa habari ITV amezungumza jambo ambalo wananchi hawana budi kuyazingatia.
Tuchague viongozi bora na si bora kiongozi. Pia kwa kauli ya kwamba hao wanaojitembeza sasa hivi siyo wasafi,Sasa je CCM imejiandaa vipi kupata mtu msafi?
Je, nani aliyemsafi ndani ya CCM?
Tuchague viongozi bora na si bora kiongozi. Pia kwa kauli ya kwamba hao wanaojitembeza sasa hivi siyo wasafi,Sasa je CCM imejiandaa vipi kupata mtu msafi?
Je, nani aliyemsafi ndani ya CCM?