Mwamba Usemao Kweli JF-Expert Member Oct 5, 2012 744 186 Nov 10, 2015 #1 Mbona kimya jamani msaidieni Seif atangazwe Rais Wa Zanzibar.
N nkongu ndasu JF-Expert Member Jan 19, 2013 22,532 6,613 Nov 10, 2015 #2 wanatafakari. maana kila wanachojaribu kufanya wanabanwa na dola....
Umslopagazi JF-Expert Member May 16, 2013 1,584 774 Nov 10, 2015 #3 Mwamba Usemao Kweli said: Mbona kimya jamani msaidieni Seif atangazwe Rais Wa Zanzibar. Click to expand... Wao wenyewe wanahitaji kusaidiwa.
Mwamba Usemao Kweli said: Mbona kimya jamani msaidieni Seif atangazwe Rais Wa Zanzibar. Click to expand... Wao wenyewe wanahitaji kusaidiwa.
T Teamubwabwa Senior Member Jul 7, 2015 172 59 Nov 10, 2015 #4 Tuwaache wapumzike wamechoka na uchaguzi kwq kujipa Kazi ya mnyamwezi kubeba mzigo mzito Wakati hawauwezi.
Tuwaache wapumzike wamechoka na uchaguzi kwq kujipa Kazi ya mnyamwezi kubeba mzigo mzito Wakati hawauwezi.
K kibenya JF-Expert Member Nov 23, 2010 383 134 Nov 10, 2015 #5 ZanZibar ni nchi nyingine wasiingiliwe hata magufuli asiwaingilie maalim seif ndio rais huko kwa mujibu wa makusanyo ya matokeo aliyokusanya
ZanZibar ni nchi nyingine wasiingiliwe hata magufuli asiwaingilie maalim seif ndio rais huko kwa mujibu wa makusanyo ya matokeo aliyokusanya