Kingunge Ngombale nae amshukuru MUNGU

Kingunge Ngombale nae amshukuru MUNGU

Hayo yalisemwa na aliye kuwa mjumbe wa Bunge maalumu la Katiba akiwakilisha upande wa dini Shekh Jongo.
"Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kasema kuwa kukamilika kwa mchakato wa katiba inayopendekezwa kwakweli ni suala la kumshukuru MUNGU"

Watu walicheka sana.
Kwa bwana kila goti litapigwa!
 
Huwa natamani kweli kuzijua hizo dini za kiafrika,hebu nisaidie

Kama una kwenu waulize wazee watakujuza kuhusu dini za Kiafrika. Ila kama babu zako walifika mjini katika misafara ya watumwa au wapagazi wa wakoloni ni bahati mbaya umeishapoteza asili yako.
 
Dini za Kimagharibi na MAshariki ya kati zimewafumba watu macho na uwezo wao wa kuendelea kuisaka kweli. Uislamu na Ukristo vinapingana wazi na moja ni ushetani kwa nyingine lakini wanaonana wote ni wema ukilinganisha na dini zingine nje ya hizo.
Watu wanashindwa kutofautisha imani za Kiafrika na Upagani, upagani ni kutoamini uwepo wa Mungu, uwezekano mkubwa ni kuwa Kingunge sio mpagani, ni muumini wa Uafrika.

Dini za Kiafrika ni zipi zaidi ya ulozi?,kuruka na ungo? kata viongo vya albino na kuua vikongwe? Ni kipi zaidi ya ramli ni kipi zaidi ya wachaga kumwaga pombe damu na nyama kaburini asubuhi wakikuta hamna mbwa kala wanafurahi na kusema babu kala?
Ni zipi zaidi ya wamasai kutundika nyama mtini na kukeketa wanawake?
Ni zipi au ni mdundiko wa wazaramo ngoma inaanzia manzese inaishia mbagala ikiandaa maambukizi ya ukimwi na kuoza watoto? Mi bado sijakuelewa!!! au unamaanisha viongoz kulala makaburini kule kaole ili kushinda uchaguzi? au unajimu wa kimajini wa shkeh yahaya na wanaye?
Ni dini ipi ya Kiafrika? Mi bado sijaelewa au ile ya kichawi ya wambulu kuzuia mvua kichawi?
Ni ipi ya kutoa watoto kafara ili kupata madini mererani?

Nauliza tu bado ni ipi au ile ya wahanzabe ya kupeleka madume mawili ya nyani na debe mbili za asali kama mahari tosha kuoa?

Mi bado sijakufahamu au ile ya kutembea na nyoka nyani ya begi ni ipi?
Ipi hiyo au ni ile ukitaka kushinda uchaguzi au upande cheo unavua suruali unafyekwa chale makalioni au ni ile unaumwa kichwa unachanjwa chale tumboni?
Au ile ya kugombanisha majirani mwanao anaumwa maleria kali inayotaka qunini unaambiwa jirani yako kamloga?
Umeniacha na maswali maana nina masters ya African history lakini sijawai ona dini zaidi ya political and social systems and organizations. Zaidi ya hapo ni uchawi na ulozi tu kwa kinachoitwa African religion.
Labda nisikukatishe tamaa kuna ile ya Kinjekitile Ngwale badala ya kufundisha mbinu sahihi za vita alikupaka watu maji usoni eti risasi isipenye wakaangamia wote kwa bunduki ya kijerumani. Mi sijui dini ipi ya kiafrika.

Maana nilisoma mahali mtu mwenye haya mawazo yako ya kukariri bila kuuliza na kukusanya ushaidi usio na shaka aliandika "we had our own gods" nikacheka sana why should they be uncountable? kwanini wawe wengi hivi hao gods? why dont those gods choose one to head them? Sasa how should i manage to pray each of them?
Au ni wale wa riwaya ya things fall apart? mungu wa aridhi, anga nk. ambao nao wanataka kafara za watoto!! hawataki mapacha!! lkn mwaandishi akasema vizuri kabisa hii fiction yaani riwaya ya kutunga ila ikireflect jamii. Sasa utunzi hauwezi kuwa ushaidi. Sasa hii miungu yenu ndio inatupa mashaka ambayo yenyewe inataka upeleke kuku mweusi paka wa madoadoa mbuzi yuko hivi au vile!! Miungu ikiona haiwez kukusaidia kuloga mtu wa mwenye Yesu inakuambia leta machozi ya simba! utapata wapi?!!! leta mkojo wa kuku, kuku hana kikojoleo!!!
aaaah!! aaaah!!

Acha ulozi mgeukie bwana wa majeshi uiponye nafsi yako na wachawi kabla hawajakukafara.

Ushauri
Hawa miungu wa kiafrika wana uwezo mdogo sana ndio maana sitaki hata kuwasikia. Walishindwa kutuzuia tusipelekwe utumwani na waarabu na wazungu, zikashindwa kumzuia "Mungu wa wazungu" tukawa koloni, zimeshindwa kuzia wizi wa rasilimali zetu zaidi ndizo zinawachukua wezi kuwalaza makaburini na kuwapa uongozi wa nchi. Hizi hatuzitaki na mwaka huu ndio mwisho wa viongoz wenye chale makalioni kutuongoza.
 
What's so funny?

This is the man who denied GOD in public and in private, for him to say thank God is a bit of a Mockery

He is the same man who is probably most corrupt, and at the same time he believes in communism
 
Dini za Kiafrika ni zipi zaidi ya ulozi?,kuruka na ungo? kata viongo vya albino na kuua vikongwe? Ni kipi zaidi ya ramli ni kipi zaidi ya wachaga kumwaga pombe damu na nyama kaburini asubuhi wakikuta hamna mbwa kala wanafurahi na kusema babu kala?
Ni zipi zaidi ya wamasai kutundika nyama mtini na kukeketa wanawake?
Ni zipi au ni mdundiko wa wazaramo ngoma inaanzia manzese inaishia mbagala ikiandaa maambukizi ya ukimwi na kuoza watoto? Mi bado sijakuelewa!!! au unamaanisha viongoz kulala makaburini kule kaole ili kushinda uchaguzi? au unajimu wa kimajini wa shkeh yahaya na wanaye?
Ni dini ipi ya Kiafrika? Mi bado sijaelewa au ile ya kichawi ya wambulu kuzuia mvua kichawi?
Ni ipi ya kutoa watoto kafara ili kupata madini mererani?

Nauliza tu bado ni ipi au ile ya wahanzabe ya kupeleka madume mawili ya nyani na debe mbili za asali kama mahari tosha kuoa?

Mi bado sijakufahamu au ile ya kutembea na nyoka nyani ya begi ni ipi?
Ipi hiyo au ni ile ukitaka kushinda uchaguzi au upande cheo unavua suruali unafyekwa chale makalioni au ni ile unaumwa kichwa unachanjwa chale tumboni?
Au ile ya kugombanisha majirani mwanao anaumwa maleria kali inayotaka qunini unaambiwa jirani yako kamloga?
Umeniacha na maswali maana nina masters ya African history lakini sijawai ona dini zaidi ya political and social systems and organizations. Zaidi ya hapo ni uchawi na ulozi tu kwa kinachoitwa African religion.
Labda nisikukatishe tamaa kuna ile ya Kinjekitile Ngwale badala ya kufundisha mbinu sahihi za vita alikupaka watu maji usoni eti risasi isipenye wakaangamia wote kwa bunduki ya kijerumani. Mi sijui dini ipi ya kiafrika.

Maana nilisoma mahali mtu mwenye haya mawazo yako ya kukariri bila kuuliza na kukusanya ushaidi usio na shaka aliandika "we had our own gods" nikacheka sana why should they be uncountable? kwanini wawe wengi hivi hao gods? why dont those gods choose one to head them? Sasa how should i manage to pray each of them?
Au ni wale wa riwaya ya things fall apart? mungu wa aridhi, anga nk. ambao nao wanataka kafara za watoto!! hawataki mapacha!! lkn mwaandishi akasema vizuri kabisa hii fiction yaani riwaya ya kutunga ila ikireflect jamii. Sasa utunzi hauwezi kuwa ushaidi. Sasa hii miungu yenu ndio inatupa mashaka ambayo yenyewe inataka upeleke kuku mweusi paka wa madoadoa mbuzi yuko hivi au vile!! Miungu ikiona haiwez kukusaidia kuloga mtu wa mwenye Yesu inakuambia leta machozi ya simba! utapata wapi?!!! leta mkojo wa kuku, kuku hana kikojoleo!!!
aaaah!! aaaah!!

Acha ulozi mgeukie bwana wa majeshi uiponye nafsi yako na wachawi kabla hawajakukafara.

Ushauri
Hawa miungu wa kiafrika wana uwezo mdogo sana ndio maana sitaki hata kuwasikia. Walishindwa kutuzuia tusipelekwe utumwani na waarabu na wazungu, zikashindwa kumzuia "Mungu wa wazungu" tukawa koloni, zimeshindwa kuzia wizi wa rasilimali zetu zaidi ndizo zinawachukua wezi kuwalaza makaburini na kuwapa uongozi wa nchi. Hizi hatuzitaki na mwaka huu ndio mwisho wa viongoz wenye chale makalioni kutuongoza.
 
Dini za Kiafrika ni zipi zaidi ya ulozi?,kuruka na ungo? kata viongo vya albino na kuua vikongwe? Ni kipi zaidi ya ramli ni kipi zaidi ya wachaga kumwaga pombe damu na nyama kaburini asubuhi wakikuta hamna mbwa kala wanafurahi na kusema babu kala?
Ni zipi zaidi ya wamasai kutundika nyama mtini na kukeketa wanawake?
Ni zipi au ni mdundiko wa wazaramo ngoma inaanzia manzese inaishia mbagala ikiandaa maambukizi ya ukimwi na kuoza watoto? Mi bado sijakuelewa!!! au unamaanisha viongoz kulala makaburini kule kaole ili kushinda uchaguzi? au unajimu wa kimajini wa shkeh yahaya na wanaye?
Ni dini ipi ya Kiafrika? Mi bado sijaelewa au ile ya kichawi ya wambulu kuzuia mvua kichawi?
Ni ipi ya kutoa watoto kafara ili kupata madini mererani?

Nauliza tu bado ni ipi au ile ya wahanzabe ya kupeleka madume mawili ya nyani na debe mbili za asali kama mahari tosha kuoa?

Mi bado sijakufahamu au ile ya kutembea na nyoka nyani ya begi ni ipi?
Ipi hiyo au ni ile ukitaka kushinda uchaguzi au upande cheo unavua suruali unafyekwa chale makalioni au ni ile unaumwa kichwa unachanjwa chale tumboni?
Au ile ya kugombanisha majirani mwanao anaumwa maleria kali inayotaka qunini unaambiwa jirani yako kamloga?
Umeniacha na maswali maana nina masters ya African history lakini sijawai ona dini zaidi ya political and social systems and organizations. Zaidi ya hapo ni uchawi na ulozi tu kwa kinachoitwa African religion.
Labda nisikukatishe tamaa kuna ile ya Kinjekitile Ngwale badala ya kufundisha mbinu sahihi za vita alikupaka watu maji usoni eti risasi isipenye wakaangamia wote kwa bunduki ya kijerumani. Mi sijui dini ipi ya kiafrika.

Maana nilisoma mahali mtu mwenye haya mawazo yako ya kukariri bila kuuliza na kukusanya ushaidi usio na shaka aliandika "we had our own gods" nikacheka sana why should they be uncountable? kwanini wawe wengi hivi hao gods? why dont those gods choose one to head them? Sasa how should i manage to pray each of them?
Au ni wale wa riwaya ya things fall apart? mungu wa aridhi, anga nk. ambao nao wanataka kafara za watoto!! hawataki mapacha!! lkn mwaandishi akasema vizuri kabisa hii fiction yaani riwaya ya kutunga ila ikireflect jamii. Sasa utunzi hauwezi kuwa ushaidi. Sasa hii miungu yenu ndio inatupa mashaka ambayo yenyewe inataka upeleke kuku mweusi paka wa madoadoa mbuzi yuko hivi au vile!! Miungu ikiona haiwez kukusaidia kuloga mtu wa mwenye Yesu inakuambia leta machozi ya simba! utapata wapi?!!! leta mkojo wa kuku, kuku hana kikojoleo!!!
aaaah!! aaaah!!

Acha ulozi mgeukie bwana wa majeshi uiponye nafsi yako na wachawi kabla hawajakukafara.

Ushauri
Hawa miungu wa kiafrika wana uwezo mdogo sana ndio maana sitaki hata kuwasikia. Walishindwa kutuzuia tusipelekwe utumwani na waarabu na wazungu, zikashindwa kumzuia "Mungu wa wazungu" tukawa koloni, zimeshindwa kuzia wizi wa rasilimali zetu zaidi ndizo zinawachukua wezi kuwalaza makaburini na kuwapa uongozi wa nchi. Hizi hatuzitaki na mwaka huu ndio mwisho wa viongoz wenye chale makalioni kutuongoza.

Mimi sio mlozi, sijawahi kukata kiuno na sina wazo la kuua albino. Lakini ni Mwafrika kwa imani. Ni nani anayeweka viwango kuwa lazima Mungu awe mmoja, sisi huamini katika miungu kadhaa... Ndio!

Naomba hoja yako moja moja nizijibu, kwa sasa umeniwekea mkeka na nashindwa kujibu kila kitu.
 
Kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba uchawi haukuwa ni sehemu katika hizo dini za kiafrika?Na haya mabaya yanayoelezwa kuhusu hizo dini za kiafrika hayana ukweli?

Uchawi (magic) ni tool tu, mtu huweza kutumia kwa ubaya, kuloga, na kutumia kwa wema, kuponya na kulinda. Kuna maandiko yanapenedekeza kuwa hata shetani alikuwa malaika kabla, sio?

Mabaya yanayosemwa yalikuwepo, lakini sio kinachokumbatiwa na falsafa ya Imani ya Kiafrika. Nasi huku tunaona ubaya na aibu ya hayo wanayotupakazia waasisi na washabiki wa dini za Kigeni (zilizosambazwa kwa vita, mauaji, ubabe, dhuluma na biashara ya utumwa).
 
Dah! Nitakisoma hicho mkuu.

Mkuu, soma mandiko ya John Mbiti (askofu wa Anglican Kenya) na Placide Tempels, askofu wa Katoliki huko Kongo DRC kuhusu Falsafa ya Dini za Kiafrika. Nitatafuta muhtasari nikuwekee hapa...
 
Hayo yalisemwa na aliye kuwa mjumbe wa Bunge maalumu la Katiba akiwakilisha upande wa dini Shekh Jongo.
"Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kasema kuwa kukamilika kwa mchakato wa katiba inayopendekezwa kwakweli ni suala la kumshukuru MUNGU"

Watu walicheka sana.

Huenda ni mungu lakini si Mungu. Sasa huyo mungu sijui ni mbuyu, jiwe au kinyago!
 
Kama una kwenu waulize wazee watakujuza kuhusu dini za Kiafrika. Ila kama babu zako walifika mjini katika misafara ya watumwa au wapagazi wa wakoloni ni bahati mbaya umeishapoteza asili yako.

Asili gani niliyoipoteza mkuu?
 
Uchawi (magic) ni tool tu, mtu huweza kutumia kwa ubaya, kuloga, na kutumia kwa wema, kuponya na kulinda. Kuna maandiko yanapenedekeza kuwa hata shetani alikuwa malaika kabla, sio?

Mabaya yanayosemwa yalikuwepo, lakini sio kinachokumbatiwa na falsafa ya Imani ya Kiafrika. Nasi huku tunaona ubaya na aibu ya hayo wanayotupakazia waasisi na washabiki wa dini za Kigeni (zilizosambazwa kwa vita, mauaji, ubabe, dhuluma na biashara ya utumwa).

Sasa mkuu je dini ni nini na nguvu ya uchawi hutoka wapi?
 
Nadhani wamemnukuu vibaya, bila shaka alikuwa anaishukuru miungu
 
Hayo yalisemwa na aliye kuwa mjumbe wa Bunge maalumu la Katiba akiwakilisha upande wa dini Shekh Jongo.
"Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kasema kuwa kukamilika kwa mchakato wa katiba inayopendekezwa kwakweli ni suala la kumshukuru MUNGU"

Watu walicheka sana.


Mkuu, hilo si tatizo. Issue ni Mungu yupi anayemzungumzia?
 
Sasa mkuu je dini ni nini na nguvu ya uchawi hutoka wapi?

Uchawi ni nguvu ya kutenda yaso kawaida/uwezo wa miujiza, dini ni mfumo wa kumtafuta muumba. Utendaji wa uchawi na utendaji wa kimungu hauna tofauti sana, ndio maana wapo watu hununua nguvu za giza kisha wakazitumia kwenye madhabahu kwa madhumuni ya kimungu.

Matumizi ya nguvu hizi ndio huamua kama ni uungu au uchawi.
 
Huenda ni mungu lakini si Mungu. Sasa huyo mungu sijui ni mbuyu, jiwe au kinyago!

Au Mungu msalaba wa mbao na kikaragosi cha mtu aliye uchi katundikwa, au Mungu lile jiwe kula Maka, au jiwe yale masananu kule parokiani, au sio?
 
Mkuu, soma mandiko ya John Mbiti (askofu wa Anglican Kenya) na Placide Tempels, askofu wa Katoliki huko Kongo DRC kuhusu Falsafa ya Dini za Kiafrika. Nitatafuta muhtasari nikuwekee hapa...

Wala huhitaji kusoma vitabu. Unaweza kuona live kwa wanaozifuata dini hizo. Labda uniambie kuwa Wamasai sio Waafrika ama Wandorobo wao hawamo. Makundi haya kwa sehemu kubwa bado yanafuata dini za Kiafrika. Usitafute vitabu tena vya watu (maaskofu) ambao kwa maoni yako wameathiriwa na dini za Mashariki ya Kati wakati ambapo mwenyewe unaweza kuwaona wanaofuata dini hizo unazozisifu.

Wewe unaelezea ulichokisoma, wenzako tunakuambia tulichokifanya chini ya hizo dini za Kiafrika. Usipotoshe!
 
Uchawi ni nguvu ya kutenda yaso kawaida/uwezo wa miujiza, dini ni mfumo wa kumtafuta muumba. Utendaji wa uchawi na utendaji wa kimungu hauna tofauti sana, ndio maana wapo watu hununua nguvu za giza kisha wakazitumia kwenye madhabahu kwa madhumuni ya kimungu.

Matumizi ya nguvu hizi ndio huamua kama ni uungu au uchawi.

Umeeleza uchawi ni nini ila bado sijaelewa nguvu ya uchawi hutoka wapi?
 
Back
Top Bottom