Huyu babu si ndiye alibakizwa ikulu kuwa refa wa vingunge wa CCM? Yuko wapi mbona simsikii popote??
Majibu yote hapa JF yako kiaina tu. IGWE anasema "kafariki longtime kitambo,....namaanisha kisi_hasa hatunae tena ila kimwili na kiroho yupo. "
Lakini wengine wanasema yamemshinda haya ya dot com ndio maana kajikalia kimya. Ukweli uko wapi???
Vizee vingine bana. Kwanza yeye dini gani(si kwa ubaguzi). Kwenye mithali kuna sehemu imeandikwa hivi MPUMBAVU ANASEMA MOYONI MWAKE KUWA HAKUNA MUNGU. ndo kizee cha busara hicho?? Ndo mana hata kwenye hii mikiki yote inayoendelea kimeufyata.! KUMCHA MUNGU NI CHANZO CHA MAARIFA.