kama analijiua hilo amefanya nini.....dawa ni kulitoa hili dubwana ccm madarakani...full stop
Mzee kingunge ni mnafiki wa Hali ya juu, yeye kahusika sana na mtandao wa dhaifu katika kumchafua dr. Salim , Leo ndio anagundua Makundi ni mabaya ccm, shame on himMwaka 2005 wakati wa campaign kwa mara ya kwanza Tanzania tulishuhudia ubaguzi (discrimination). Dr Salim Ahmed Salim aliitwa mwarab, hizbu na mambo mengi ya hovyo. Labda nilipitiwa lakini kama kuna mtu aliyesikia kauli ya Kingunge naomba aturushie hapa. But we know, mitandao ndio ilikuwa inafanya kazi na Kingunge alichagua upande wa pili. Leo hii anapata wapi moral authority ya kukemea kitu alichopalilia, ama kwa kukaa kimya wakati kinaota mizizi, au kwa kuwapa support?
Ahsante kwa
taarifa mkuu, ila issue si kusema...wao kama wazee/wakongwe wa CCM
wanafanya nini kuhusu hilo?