Kingunge Ngombale Mwiru: Nilipotoshwa

Kingunge Ngombale Mwiru: Nilipotoshwa

Baada ya kula hela ndio anasema kapotoshwa? Huyu mzee ni mnafiki sana.
 
nilisikia ukiwa mnafiki ujanani utakuwa mchawi uzeeni niambieni habari za ujana wake cose uzeeni tumemjua..
 
unajua watu wengi wanatumia ma**lio kufikiria hv huu uzushi unafikiri umetu-convice.
 
We mleta mada usidhani mimi ni mjinga mwenzio, kukaa na kutunga story ya kipumbavu na kuileta hapa bila source
 
Kaahidiwa dau kubwa zaidi upande ule mwingine sasa anajifanya kuwa aliingizwa choo cha kike. Anatamani ale huko nako. Pole sana mzee, ccm wote panya riad tu
 
Sijui kuna ukweli kiasi gani lakini kama ndio hivi basi viongozi wengi kumbe wanatumia akili za kushikiwa. Kila mmoja analalamikia kupotoshwa!
 
Huuu uzushiiii... Ngombale ni EL kufa na kupona... huyu mleta mada ana kifafa...!!!
 
Back
Top Bottom