Kingunge has outlived his usefullness.
He is dead wood.
Wengi tulimheshimu sana kingunge kama a left-of-centre political activist.
Alikuwa mtu wa watu. Ni kati ya viongozi wachache walioamini tena kwa kuapa kiapo cha chama kutetea Taifa kiitikadi katika ule mlengo wake wa kushoto unaofahamika na wengi.
Mlengo wa kushoto ni pamoja na nguvu ya umma, uongozi wa kutetea maskini na wanyonge kushika hatamu za utawala.
Kingunge alianza kuonekana kama mchangiaji wa mawazo ya kiitikadi katika muelekeo nilioulezea.
Tulikuwa tumekosea kabisa.
Kumbe kama kinyonga Kingunge is an opportunist.
Inatia kinyaa kuona mtetezi mahiri wa ujamaa anajiingiza katika biashara za kitapeli kama za uendeshaji wa stendi ya Ubungo na uzoaji taka , bila kulipa kodi za Serikali.
Kitendo cha Kingunge vile vile cha kukumbatia mafisadi ndio kimmemmaliza kabisa katika ulingo wa kuweza kuaminika kama mchangiaji serious wa siasa za hapa nchini.
Sana sana Kingunge ameshakuwa mtawala (a doer not a thinker)