Angalia usije ukaja kuacha kupitia jamiiforum!!!
Inaweza ikawa ndo kufa kifo cha mende kwa chama chenu mara baada ya uchaguzi na ikatokea usikipende tena!!!
Jua kuwa kuna wengi wanaoomba nafasi hiyo, hivyo usijiaminishe sana kuwa chama chako kitashinda!!! Bakisha ya kuongea baada ya uchaguzi kupita!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.