King'amuzi cha ten sport msaada

King'amuzi cha ten sport msaada

Maarko

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
1,196
Reaction score
609
Ndg wanajamii,

Nafahamu ktk jukwaa hili kuna watu wengi wanaofahamu vitu vingi tofautitofauti,kwa anayejua jinsi ya kupata king'amuzi cha Ten sport na jinsi ya kulipia tafadhali anijuze.

Natamani sana kumiliki king'amuzi hicho,asanteni wanajamvi kwa watakaonisaidia.
 
Mh! sijawahi kusikia king'amuzi cha Ten sport,ila najua kuna chaneli ya Ten Sport. Ngoja waje wengine.
 
Mbona unahangaika na ving'amuzi, Wengine wanasema unalipia kujiunga tu hakuna malipo ya kila mwezi, kumbe ni janja ya kuingilia sokoni........... kuna ndugu yangu kajaza kabatini tokea enzi za GTV, DST, Easy Tv n.k sasa amanunua ungo hana presha tena

Nunua DISH a.k. a Ungo ndo mpango mzima channeli za kumwaga tena bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeee




Mh! sijawahi kusikia king'amuzi cha Ten sport,ila najua kuna chaneli ya Ten Sport. Ngoja waje wengine.
 
Back
Top Bottom