funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
mmmh hapa kuna changa la macho ndio wale wanakufungia baada ya mwezi unakuta hamna kitu ukimuuliza anakwambia TV zimebadilisha namba za channel mpk apate namba mpya, kama una uwezo funga DSTv ni mwisho wa matatizoKuna jamaa anakufungia dish unanunua decoder usd 200 na unamlipa 250,000 per year unapata channels nyingi za maana unaona premier leage, la liga, bundasliga na movie mpya mpya.....