Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
Wadau leteni khabari hii issue bado haijaingia sokoni?
You have a point dude!!!1!!!Mjomba, this is too much!....tuache speculations za kubomoa umoja wa kitaifa!
Kinakuja,
Maamdalizi yanaendelea about 60% ya mambo yanayotarajiwa kufanyika yameshakuwa tayari kama mtiririko huu hapo chini:
1: Jengo yaani media house limeshanunuliwa - Nyerere road just baada ya mataa ukitokea airport upande wako wa kulia
2: Interviwe za wafanyakazi - the most ultra expertise staff tu zimeshaanza na zinaendelea kufanyika.
3: Aliyekuwa MD wa GTV ( ile iliyorun bankrupt ndio atakuwa MD wa Azam Media
4: Vinga'amuzi kuanza kuuzwa "labda" this October.
5: mchakato wa kisheria na kikanuni unakamilika.
6: itakuwa ni pay TV, competitive na full options.
7: Kutakuwa na channel nyingi za burudani, michezo, mambo ya kijamii,news and hot hot links.
8: It is a revoultioanry move.....stay tuned