nyamva
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 244
- 156
Kwa masikitiko makubwa nawasilisha tatizo lihusulo king'muzi cha azam
baada ya kukitumia kwa muda wa mwaka mmoja Leo kimekuja na usemi wa (no program), nimefanya kila aina ya utundu lakini nimeambulia patupu.
Kifupi hakuna hata channel moja inayofanya kazi.
Jamani mwenye uelewa anisaidie kufumbua hili tatizo.
Nawasilisha!
baada ya kukitumia kwa muda wa mwaka mmoja Leo kimekuja na usemi wa (no program), nimefanya kila aina ya utundu lakini nimeambulia patupu.
Kifupi hakuna hata channel moja inayofanya kazi.
Jamani mwenye uelewa anisaidie kufumbua hili tatizo.
Nawasilisha!