Kinga`amuzi cha ting nauza

NALO LITAPITA

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
333
90
Habari zenu wakuu?Ninauza bidhaa tajwa hapo juu.Iko katika khali nzuri sana,Ninauza shilingi 50,000 ni cha antena.Hiki dukani kinauzwa 75000.Nimefikia uamuzi wa kuuza kwa kuwa ving`amuzi vyote sasa hata local chanel unabidi ulipie na familiya yangu inapenda cha azam kwa sababu ya entertainment sasa nakuwa nashindwa kuvilipia vyote.
 
Habari zenu wakuu?Ninauza bidhaa tajwa hapo juu.Iko katika khali nzuri sana,Ninauza shilingi 50,000 ni cha antena.Hiki dukani kinauzwa 75000.Nimefikia uamuzi wa kuuza kwa kuwa ving`amuzi vyote sasa hata local chanel unabidi ulipie na familiya yangu inapenda cha azam kwa sababu ya entertainment sasa nakuwa nashindwa kuvilipia vyote.
Namba za simu mpaka tuombe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom