KIDESELA Senior Member Joined Sep 26, 2011 Posts 149 Reaction score 92 Nov 4, 2016 #1 Kama kinavyoonekana hapo kitanda kinauzwa kipo sinza mugabe, mcheki muhusika kwa namba hiyo,bei yake Laki 3 na elfu 70 maongezi yapo +255 679 214 045
Kama kinavyoonekana hapo kitanda kinauzwa kipo sinza mugabe, mcheki muhusika kwa namba hiyo,bei yake Laki 3 na elfu 70 maongezi yapo +255 679 214 045
U Upiversity JF-Expert Member Joined Jun 19, 2015 Posts 3,487 Reaction score 2,634 Nov 4, 2016 #2 .....duh,we shunie umesanda makelele ya walokole umeamua ujilipue liwalo na liwe? ....kwahiyo utalalia mkeka?
.....duh,we shunie umesanda makelele ya walokole umeamua ujilipue liwalo na liwe? ....kwahiyo utalalia mkeka?
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,795 Reaction score 6,442 Nov 4, 2016 #3 Kikiwepo hadi next week nakuja kukichukua kwa 300K kama upo tayari Size gani?
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,730 Reaction score 9,907 Nov 5, 2016 #4 Kimeishatoa watoto wangapi,maana nisije kununau kikawa hakua uzazi kumbe watoto wote wameisha,nimependa ulivyo mechisha mito,aisee unatisha"Joke Mkuu" Hicho ni 5 x 6,au sio?
Kimeishatoa watoto wangapi,maana nisije kununau kikawa hakua uzazi kumbe watoto wote wameisha,nimependa ulivyo mechisha mito,aisee unatisha"Joke Mkuu" Hicho ni 5 x 6,au sio?
Augustine Genius JF-Expert Member Joined Apr 14, 2016 Posts 1,220 Reaction score 1,497 Nov 6, 2016 #6 Ebu kuwa muwazi, hicho kitanda ni size gani? Unauza pamoja na hivyo vyote vinavyoonekana kwenye picha?
Ebu kuwa muwazi, hicho kitanda ni size gani? Unauza pamoja na hivyo vyote vinavyoonekana kwenye picha?
KIDESELA Senior Member Joined Sep 26, 2011 Posts 149 Reaction score 92 Nov 9, 2016 Thread starter #7 Augustine Genius said: Ebu kuwa muwazi, hicho kitanda ni size gani? Unauza pamoja na hivyo vyote vinavyoonekana kwenye picha? Click to expand... Size 5 by 6 kitanda pekee
Augustine Genius said: Ebu kuwa muwazi, hicho kitanda ni size gani? Unauza pamoja na hivyo vyote vinavyoonekana kwenye picha? Click to expand... Size 5 by 6 kitanda pekee
Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,813 Nov 9, 2016 #8 Daah.. Kuna watu wanajua kutandika kitnda asee!
kulangwa22 JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 739 Reaction score 546 Mar 27, 2018 #10 Natak chumba icho ukishauza kitanda siunaelekea mkoani