Au kaenda kufuatilia ile meli yake iliyokamatwa na vipusaTangu kutangazwa kwa baraza la mawaziri na kurudishwa na mawaziri mizigo,sijamsikia tena Comrade Kinana,mwanamikakati huyu amekubwa na dhahama gani?namsikia Bulembo tu,he is doing like Secretary.Watu wanahoji labda ameamua kujinyamazia anajua Magufuli hawezi kutoboa.Sijui,labda mikwara ya Magufuli ilimtia kinyaa akaamua kupiga bunda.Au labda wamezinguana na mwenyekiti baada ya Ba Mdogo kupigwa chini.Wengine wasema yupo busy anakusanya risiti za retirement za masurufu ya uchaguzi maana hii mikwara ya Mkuu wa nchi
Biashara zipi hizo mkuu plsAtakuwa anafikiria namna ya kuanza biashara zake
Makatibu wako wengi sana, ebu fafanua unamuulizia katibu yupi?Yuko wapi katibu wa chadema
ndo mimi hapaYuko wapi katibu wa chadema
Kinana na fayza foxy naona wamesusa kabisa shughuli za lumumba au inawezekana wanaandaa mkakati wa kutaka jk awanie tena uprezidaa 2020Baada ya kusikia Maghembe ambaye alisema ni waziri mzigo kawa wa Maliasili ndipo akatambua Magu sio mtu mzuri na anampango wa kummaliza kisayansi kwa kumpa mbaya wake wizara hiyo.
Ni sawa na kumpa urefa mechi ya Fainali Yanga na Maji maji Zakaria Hans Pope au Haji Manara
Ana tafuta gia ya kuondokea,hana tatizo la biashara, zipo tu.Atakuwa anafikiria namna ya kuanza biashara zake