Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume...

Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume...

Kinana ni bonge la kiongozi slaa akimsikia hutamani kujificha kabisa kila anakopita neema na msikamano vinarejea.
 
Kinana ni bonge la kiongozi slaa akimsikia hutamani kujificha kabisa kila anakopita neema na msikamano vinarejea.
Sana tu mkuu. Yeye anasimamia misingi ya haki ndani ya chama. Huwezi kumlinganisha na mzinifu Slaa wa upande wa pili
 
CCM ya Nyerere ilijali wakulima na wafanyakazi - Nyerere alikuwa msafi na ndiyo maana watanzania walimwamini sana - ni nani leo wa kuaminika ndani ya CCM?
 
Hongera Kinana kwa kuchapa kazi. Ingawa simpendi anayemlisha maneno kuwa eti Kinana anataka ccm ya Nyerere wakati sote tunajua kuwa ccm ni moja tu. hawa wanataka kutufitinisha na kujifanaisha na wao ambao wana CHADEMA CHUMBANI na CHADEMA SEBULENI
 
Mandla Jr. Na kauli za Kinana zimeanza kudhihirka.
Ni dhahiri CCM imeimarika sana kwa sasa.
 
Last edited by a moderator:
CCM ya Nyerere ilijali wakulima na wafanyakazi - Nyerere alikuwa msafi na ndiyo maana watanzania walimwamini sana - ni nani leo wa kuaminika ndani ya CCM?
Mkuu, CCM inaaminika mpaka kwa waliomo CHADEMA. Ndo maana huwezi kushangaa kuona mtu kama dr Slaa anaendelea kuwa na kadi ya CCM
 
CCM ya Nyerere ilijali wakulima na wafanyakazi - Nyerere alikuwa msafi na ndiyo maana watanzania walimwamini sana - ni nani leo wa kuaminika ndani ya CCM?

Mimi na wewe tunapaswa kuimini CCM, sijaona chama chochote ambacho kinaweza kuipiku CCM tena hasa ukizingatia kuwa vyama ambavyovilionekana kuwa na nguvu zimekosa mweleko kabisa.
 
CCM ni moja tu. Hakuna CCM ya kinana wala ya Nyerere. ila kule CHADEMA ndo kuna CHADEMA CHUMBANI na CHADEMA SEBULENI

upo team ipi??? ya lowassa,membe,sitta,makamba,sumaye au mzee wa gombe????
ulivyo na njaa lazima utakuwa kwenye marichmonduli tu!
 
Mimi na wewe tunapaswa kuimini CCM, sijaona chama chochote ambacho kinaweza kuipiku CCM tena hasa ukizingatia kuwa vyama ambavyovilionekana kuwa na nguvu zimekosa mweleko kabisa.
kaka nimetafuta jibu la kukupa linalokufaa nimelikosa!! sitaki kukuharibia siku yako.
 
upo team ipi??? ya lowassa,membe,sitta,makamba,sumaye au mzee wa gombe????
ulivyo na njaa lazima utakuwa kwenye marichmonduli tu!

CCM ni moja wewe na utajionea 2015, usitake kutuletea ya MBOWE na SLAA vs ZITTO, hayo ni huko Mtaa wa Ufipa.
 
siongei na kidagaa mie! mtu tuliyemzika hapo furahisha ana jipya gani!!!!
cdm ni noumaaaaaaaasa

sema noma inatosha, unafikiri ukisema noumaaaaaaaaaa, ndiyo itakuwa noma kweli? Mkuu sikiola kufa halisikii dawa, ZITTO ndiyo ataimaliza CDM.
 
Back
Top Bottom