Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume...

Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume...

kaka nimetafuta jibu la kukupa linalokufaa nimelikosa!! sitaki kukuharibia siku yako.

Nani kakwambia mimi Kaka yako? kwa sababu umekubali hoja zangu, niite baba kabisa.
 
CCM ni moja wewe na utajionea 2015, usitake kutuletea ya MBOWE na SLAA vs ZITTO, hayo ni huko Mtaa wa Ufipa.

kachukue buku 7 uende choo mtumwa wewe, hivi ilikuwaje tamko la makonda kujibiwa na mgenja???? hivi umemsikia sophia simba na kauli zake??? au umezidiwa na
mahaba???? njaa itakuua,nyambafu,!!!!!!
 
Sana tu mkuu. Yeye anasimamia misingi ya haki ndani ya chama. Huwezi kumlinganisha na mzinifu Slaa wa upande wa pili

Hivi nyie vijana wa lumumba wazazi wenu wasingekuwa wazinifu mngezaliwa?yaani mpaka leo nyinyi hamjitambui kuwa nyie ni matokeo ya zinaa hivi kwanini mnakuwa na matusi namna hiyo mada imewekwa ya muua tembo nyie mnamjadira Slaa ajila yenu si chochote Bila kumtukana Dr et eeh
 
Back
Top Bottom