Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists

Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists

Haya kauli za mh. Lowassa zimeudhi wakubwa huko duniani .
Hebu jisome mwenywe hapa

Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists | TheHill - Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists | TheHill


Kwa iyo wew na akil zako timamu unataka kuja tuaminisha kuwa rais ambae wamerekan wanamkubali sisi ndo tumchague?
Kama huu ndo unaista usomi basi taifa hili limelaaniwaa, unataka tuchague kibaraka wa marekani.sio?
Alaf unajiona umeletaa habari mwenyew, acha kukurupuka

Lowasa ni chaguo la watZ sio wamarekani ilo chaguo la wamerekani liende likaongoze marekani sio tz
 
Jinga sana wew utakuwa mtumwa wa fikra wew na kizaz chako
 
Lowassa is a reject wa CCM, never compare him to uhuru

Mkuu unaokoteza article za nje kutafuta huruma kwa akina Obama. Mnatia huruma sana CCM, tatizo mlijenga kiburi na dharau mkadhan mna hati miliki kutawala Tz milele. Huu ujuha uliwapofusha na kamwe wewe na CCM wenzako hamtokaa muelewe.
 
Kuwasikiliza Wamarekani ni kubaki kuwa watumwa! Acha watanzania wachague Rais wanaemtaka siyo kutuchagulia.
 
ka Habari kenyewe hako kauongo flani hiviii Eti UAMSHO ni terrorist group yenye link na BOKO HARAM hahahahahaha Mana Jamba Jamba Tu mwaka huu OuT
 
Haaa haaa blog la kinana! Kwanini mumekataa kauli ya mbowe kuhusu kuundwa jopo la majaji kuchunguza bombing kwenye kanisa la arusha? Ugaidi upigwe vita na kila mtu, lakini mbona uamsho walisema wana video ya clip ya waliochoma kanisa zanzibar?
 
Kwa iyo wew na akil zako timamu unataka kuja tuaminisha kuwa rais ambae wamerekan wanamkubali sisi ndo tumchague?
Kama huu ndo unaista usomi basi taifa hili limelaaniwaa, unataka tuchague kibaraka wa marekani.sio?
Alaf unajiona umeletaa habari mwenyew, acha kukurupuka

Lowasa ni chaguo la watZ sio wamarekani ilo chaguo la wamerekani liende likaongoze marekani sio tz

Lakini walipokuja kumpokea lowassa richnond(gunia lake la misumari) pale symbion ubungo ulikuwepo kushangilia?
 
Hivi mmesoma vizuri na mmemjua aliyeandika hiyo article au mnarukia tu kama nyumbu bila kusoma kilochoko ndani na author?
Basi ngoja niwaache na ulofa wenu
 
Tena ukiona Mtu anaungwa Mkono MAREKANI na mkamchagua kuwa rais wenu!,Mjue kabisa kuwa imekula kwenu.Wamarekani wanachoangalia ni maslahi yao tuu na hawana nia njema na hizi nchi zetu za kiafrika.Na inawezekana kabisa wamempelekea ujinga wao Mzee wetu LOWASA akawachomolea nje ndo maana wameanza kuleta zengwe.
TANZANIA ni ya Watanzania na siyo ya wamarekani.Wao wakitaka wake tufanye biashara yenye maslahi kwa pande zote na syo huu ujanjaujanja wanaoufanya.
 
Back
Top Bottom