Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists

Kinana: Tanzania cannot be allowed to be the new front for terrorists

^^^M^^^A^^^G^^^U^^^F^^^U^^^L^^ ^I^^^^©2015 Ven conmingo si quieres vivir °°°°°°°°°°°°
°°°°°°°°°°° magufuli si la presidente en la
Tanzaniano.
Grac-ous..... >^^^^^>>>^^^^^>>^^^^^>>>^^^^^^
>>>>>^^^^^^
#HaPaKaZiTu
Imejipost
 
"Rejected by voters...." When, how and where?! Kweli inabidi ujitoe akili ndo uitetee ccm... Khaaa! Huyo ni mtu mzima kabisa na kuna watu wanamwelewa!
 
Kaongea mengi ambayo hayana uhusiano wowote na Lowassa.

Kama Kinana ana appeal kwa wazungu wamsaidie nafikiri hajui anachokilenga watakaopiga kura ni watanzania sio wazungu.

Common citizens wanajua wahusika wa matukio yale kuwa yalikuwa yakupangwa na serikali, hata wazungu anaofikiri ni wajinga wanajua mhusika ni nani, kwa kumkumbusha tu wazungu wenyewe walikuja kufanya uchunguzi wao wakaacha picha ya mhusika.

Ukiona chama tawala kinaingia kwenye propaganda chafu namna hii jua maji yako shingoni.

Ila alichonifurahisha ni kusema ukweli kuwa Lowassa anaweza kushinda,

"If Lowassa and his opposition supporters win, a slim possibility as things stand today,....".
 
Naona hii ni hofu ya kupoteza tenda ya kusambaza vipusa. Haya mawazo mgando ya kinana hayana nafasi hata kidogo ndani ya Tanzania yetu. Nchi itakuwa na amani ya kutosha na kupitiliza ccm ikiondoka madarakani. Zaidi idadi ya tembo na twiga wataongezeka mara dufu.
 
Kama wapiga kura wakiamua kuwapa UKAWA kura za kutosha ni nani wewe unayeweza kuzuia matakwa ya wapiga kura? Au mnalazimisha tuwapeleke ICC? Tanzania ni ya watanzania na kamwe si mali ya wahafidhina na mafisadi wachache na familia zao
 
Kinana anawaita waislam wenzake magaidi kisa tu kuikoa ccm?
 
Chetta
umeniacha hoi jamani
its just the lack of kicks of the diying hyena
haahahahahahahhaahahahahahahahahhaahha
 
In 2013 two British volunteer teachers, Katie Gee and Kirstie Trup – both at the time teenagers – suffered a horrific attack while in Zanzibar, part of Tanzania in East Africa, when two men on motorbikes threw sulphuric acid in their faces. Flown back to London, surgeons removed from Katie Gee, the worst affected of the two, burnt skin from 30 per cent of her body. One year later, she was still required to wear a plastic mask to reduce the scarring covering her face.

Assisted by investigators from the British police at New Scotland Yard and Interpol, the Tanzanian authorities later arrested for the crime members of Uamsho or “Awakening”, an Islamic terrorist group with known links to Boko Haram. They have now been charged in court. Uamsho has a history of targeting foreigners and even Muslim and Christian religious leaders who do not support their aim of tearing apart the union of Tanzania through terrorism and converting Zanzibar into an extremist state.

Even after the attacks on Gee and Trup, who were only in Zanzibar to help and others who have meant no harm to anyone, as we learnt in the first few weeks of election campaigns in Tanzania, Edward Lowassa, an opposition candidate, has clear sympathies to the aims of these extremists.

For some years the status of Zanzibar within the United Republic of Tanzania has been an important question for the people of that island. A tiny minority advocates separation from the mainland with which it was united in the same year it overthrew the Arab regime. There is nothing wrong in holding perfectly legitimate political debates so long as they are pursued through peaceful, democratic means.

But the question is, how long it would be possible for such discussion to remain peaceful if the opposition were to succeed in the upcoming Tanzanian General Election? Lowassa, who, after only 18 months as Prime Minister, was forced by the Parliament to resign from the post after a corruption scandal has promised the release of those who committed the acid attack. Allowing the suspected terrorists to walk free and, without doubt, resume their violent campaign would threaten the safety of ordinary Zanzibarians, mainland Tanzanians – most of whom are moderate whether they follow Islam or Christianity – and foreign visitors, many of whom hail from the UK.

Lowassa is proposing this purely as part of his breathtakingly cynical bid for the presidency. Rejected by voters in his attempt to win the nomination to be the candidate for the governing Chama Cha Mapinduzi (CCM) party he immediately decamped to the opposition to become theirs.

Moderate opposition leaders, including Professor Ibrahim Lipumba, the chairman of the predominantly Zanzibarian Civic United Front have resigned, in protest, to support the government. We can only assume that Lowassa’s outreach to these extremists was a desperate response to the fact the majority of Zanzibarians in that long-standing stronghold for the opposition have been refusing to support his presidential bid.

It is hardly surprising they do not. This move has angered many Christian bishops who had called for government to swiftly prosecute extremists who are widely believed to have burnt churches and targeted Christians with violence, including acid attacks. It is clear that Lowassa’s interests do not lie with helping the people of Tanzania, but by helping himself to power, and the spoils he believes await him there. After all, the character of Lowassa is well known not just to Tanzanians but also to the West. Wikileaks revealed through one of many U.S. diplomatic cables that concern Lowassa exactly what the Americans think about him, when then U.S. Ambassador Mark Green stated: “Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years.”

Neither Tanzania nor the West can afford to have Tanzania as the new frontier of terrorism in Africa through Lowassa’s actions. Despite the terrifying attacks they have conducted over the years, they have not yet demonstrated they have the strength of other jihadist groups such as Al-Shabaab or Boko Haram. Indeed, by comparison, Tanzania has been mercifully peaceful and safe from the violence committed against our neighbours such as Kenya.

While who governs Tanzania is only a question the citizens of my country have the right to answer, it is right that Britain and its allies in the struggle against Islamic terrorism should be extremely concerned were Lowassa to win and action his promise to the extremists.

When Al-Shabaab attacked Westgate Mall in Nairobi in 2013, the UK and US government issued travel advisories to its citizens against visiting many parts of Kenya. This has seriously affected their crucial tourism industry: it is without doubt that a revival of terror in Zanzibar would devastate the tourism industry of Tanzania and, in particular, that of Zanzibar on which the island is heavily dependent.

So the choice facing Tanzania at this coming election has ramifications both at home but also far beyond our own borders. If Lowassa and his opposition supporters win, a slim possibility as things stand today, then the country stands to become a new front for terrorists, just at the very time when they are facing defeat in other countries across Africa.

Kinana has served as the first Speaker of the East African Legislative Assembly, and Deputy Defence and Deputy Foreign Minister of Tanzania. He now serves as Secretary-General for the governing CCM party.

Source: thehill.com

Kinana pia yuko kazini _ ni Kanali wa TPDF aliyeshiriki medani zote za ulinzi wa nchi yetu. Bravo bravo. Kama kuna mtu anathubutu kumpinga kwa ajili tu ya kujipatia marks kwa Fisadi Lowassa aliyesema atawaachia terrorists wa UAMSHO waliouwa watu weti Waislamu kwa wWakeisto mashehe kwa mapadiri misikiti kwa makanisa. Haja yake tuangamie yeye aende Ikulu.
No No No. Kila mtu aseme No No No. WM
 
tehteh...propaganda at its purest form............


Rubbish! What propaganda? Huwajui UAMSHO? Hawakuua Padri? Hawachoma makanisa? Hawakumwagia acid yule Sheikg aliyewakatalia mopango yao dhalimu kuitekeleza kupitia msokiti wake? Hujui kwamba wamekatwa? Hujui kwamba wako Mahakamani? Hujui kuwa Fisadi Lowassa kaajidi kuwaachia? Propaganda iko wapi hapa - au wewevndiyo propaganda? Shame on you! WM
 
msaada tafsiri wa uzi huu kwa kiswahili, yaani nimetoka patupu lugha za watu hizi
 
Hawa CCM ni nani aliye waroga!? Wananchi washafanya maamuzi na kinacho fiata sasa ni kusubiria hiyo October 25 tu badili hii regime.

Ni wamanchi gani hawo walioamua? Wamuweke fisadi kung'oa mafisadi? Awaachie UAMSHO waue wakristo na kuwa ISS? SPEAK FOR YOURSELF HAKUNA WATANZANIA WALIOKWISHA AMUA.
 
Rubbish! What propaganda? Huwajui UAMSHO? Hawakuua Padri? Hawachoma makanisa? Hawakumwagia acid yule Sheikg aliyewakatalia mopango yao dhalimu kuitekeleza kupitia msokiti wake? Hujui kwamba wamekatwa? Hujui kwamba wako Mahakamani? Hujui kuwa Fisadi Lowassa kaajidi kuwaachia? Propaganda iko wapi hapa - au wewevndiyo propaganda? Shame on you! WM
BREATH IN............BREATH OUT............RELAX....



































































































....Ok go on........
 
Bora ameandika kingreza. Mungu mkubwa. Sijamuelewa
 
Haki ya mama CCM ikitoka madarakani lazima Kinana na mafisadi wengine wawekwe jela waozee huko.We cannot afford to be made fools like this.Inauma sana.Sisi watoto wetu waende shule za kata lakini wengine watoto wao waende shule za kimataifa, tena kwa kutumia resources walizotuibia.Hatukubali, tutalala nao mbele.
Tushaaamua,ajiandae kurudisha tembo wetu huyo msomali
 
Ukisoma between the lines unaona kuwa Lipumba hakujiuzulu kwa ajili ya kuheshimu dhamira yake bali kuunga mkono Serikali (ya CCM) kuhusu Lowassa. Sasa naona wanazidi kumuumbua mzee wa watu. Pia Kinana anasema "Moderate Opposition "Leaders" kwa maana ya haya maneno na Dr Slaa (Mzee wa kula mihogo) na yeye alijiuzulu kuunga mkono hili.

Tutaona mengi mwaka huu. Hapo naona wanawatisha wazungu wasimuunge mkono Lowassa. Wananchi ndio wana sauti ya mwisho
 
Back
Top Bottom