MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Huu ni mwendelezo wa kile ambacho kimeridhiwa kwa manufaa ya kisiasa za kibinafsi ambazo hazina maslahi ya taifa endelevu.SERIKALI imesema itachukua hatua kali kwa baadhi ya Watanzania, ambao watabainika kutoa siri za nchi kwa ajili ya manufaa binafsi.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, alipokuwa akijibu hotuba ya Kambi ya Upinzini iliyosomwa na Mbunge Ezekiel Wenje (Nyamagana-CHADEMA).
Katika hotuba yake, Wenje ambaye ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alidai kuwa Membe, anachochea vita kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).
Membe alisema ni aibu kwa mbunge kusimama ndani ya bunge kutetea maslahi ya Rwanda na kuonya kuwa hatua hiyo ni hatari kwa mustakabali wa nchi.
Alisema ameshangazwa na kauli ya Wenje kwamba Serikali ya Tanzania inaibeba DRC katika vita kati ya nchi hiyo na Rwanda.
Akionekana kukerwa na kauli ya Wenje, Membe alisema mbunge huyo hana nia njema na mustakabali wa wananchi wa Tanzania na lengo lake ni kutaka kuchochea mgogoro kati ya Tanzania na Rwanda.
"Ni aibu kwa Mbunge Wenje kusimama bungeni macho yamemtoka, akiitetea Rwanda. Mtu wa aina hii ni msaliti mkubwa na hafai kuwa kiongozi.
"Kwa nini Wenje anatetea nchi jirani? Mtu makini ni lazima apiganie nchi yake hata kama serikali yake inafanya mabaya au mazuri. Mtu wa aina hii ni rahisi kutumika au kutoa siri za nchi," alisema Membe.
Ndugu, yaeda chini ndiyo wapi huko?.Km kinana ameenda hadi yaeda chini basi ccm ni expired
Rubbish!!Huu ni mwendelezo wa kile ambacho kimeridhiwa kwa manufaa ya kisiasa za kibinafsi ambazo hazina maslahi ya taifa endelevu.
Kumbuka kuna kipindi gari la kazi za KUB ambalo anatumia Mh. Mbowe lilipata matatizo Kenya na katika safari hiyo, Mh. Mbowe alikuwa ameambatana na guess who?. Mh. Wenje.
Gari waliamua kuiacha Mombasa wakaamua kumalizia safari zao kwa usafiri mwingine. guess walikuwa wanaenda kukutana na nani? kwa faida ya nani?.
Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya. Hata Rais Paul Kagame alishawahi kutumia reference ya msimamo wa CHADEMA katika hotuba yake.
Rais Kagame said last year, "he will wait for the right moment and hit Kikwete hard." This is the moment!
We knew it was coming!
Rais Kikwete husema, akili za kuambiwa changanya na zako kwa maana kwamba, tumesikia Mh. Wenje alichosema, na sasa tunafahamu sababu zake.
Km kinana ameenda hadi yaeda chini basi ccm ni expired
Ndugu, Kama ni kweli CCM umeundwa na watu wa aina hii unayoitaja ambao kwa kupitia kwao chama kimeendelea kuaminiwa na kupewa uongozi ndani ya multiparty politics tokea 1992, basi wale ambao wako kwenye vyama vingine watakuwa ndiyo hovyo kabisa (inutile) kwa sababu wameendelea kukataliwa na wananchi wengi kuongoza taifa tokea 1995.CCM ni chama kinacho undwa na majangiri,wauza unga,waiba madini,na Waropokaji.
huko hakuna tembo? Hawa magamba wanastahili adhabu kali kama hii!
Ndugu, ulidhani CCM haina wanachama maeneo hayo?. Kwani wao hawapaswi kufikiwa na chama?.Mkuu yaeda chini wanaishi wahanzabe.pia uko kuna tembo wengi.
Ndugu, Kama ni kweli CCM umeundwa na watu wa aina hii unayoitaja ambao kwa kupitia kwao chama kimeendelea kuaminiwa na kupewa uongozi ndani ya multiparty politics tokea 1992, basi wale ambao wako kwenye vyama vingine watakuwa ndiyo hovyo kabisa (inutile) kwa sababu wameendelea kukataliwa na wananchi wengi kuongoza taifa tokea 1995.
Ndugu, Hizi kelele tumeanza kuzisikia tokea 1995 kwa maana nyingine, unachokisema ni marudio yaleyale, yanayosemwa na walewale kwa manufaa yale yale.Hakuna anae waamini zaidi ya familia zenu tu,mnaingia madarakani kwa kuiba kura mkisaidiwa na TISS na policcm....tunataka tume huru.
Sikakuelewa mkuu what do you mean when your say expired? Inamaana Yaeda chini hakuna watu?
CCM ni moto wa kuotea mbali nyie UKAWA mpo busy na katiba wakati Kinana yu busy na matatizo ya wananchi na kukagua uhai wa chama ikiwemo kupanga mikakati ya serikali za mitaa!
CCM nchi nzima wanajiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa imebaki miezi 4 tu kuanzia sasa na kwa hakika tutashinda kwa kishindo!
Mkuu hiyo, this is fun ndiyo utumbo wa mnyama gani? Au ulitaka kusema this is funny? Na hiyo uelewi ndiyo mzoga wa mdudu gani? Au ulitaka kusema: huelewi? Na wewe naye ni great thinker hapa Jukwaani?this is fun, nadhani uelewi hata maana ya hii picture naona unatembea nayo tangu juzi