cerxm
Member
- Nov 14, 2013
- 56
- 9
Hapo ni haki akina Tambwe Hizza walalamike. Naona Nepi na mzee Wa tembo wameamua kupiga hela, hii mizunguko ya Tanzania nzima si watajenga maghorofa wakati wenzao wanapiga miayo tu? Kwa nini wasingeigawa nchi kwa makundi ili na wengine waende upande mwingine? Sasa hivi ni wale wale tu, wakiamua kwenda na akina Shonza na Stella Mwampamba labda wanaenda kuwavua nyupi. kazi kweli kweli!
Walioenda n msimamizi wa shughul za chama na mwenezi kama unaviongoz wako wengn waambie waende