karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
Sioni mantiki ya hawa watu kuendelea kuzunguka nchi nzima na kula hela za walipa kodi na wakiwa hawana msaada wowote huko wanakotembelea,mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?????acheni kudanganya wananchi
huyo kinana ni boksi kabisa hata kwenye account yake fb kaweka jinsia ya kike
Akili zao zinawaza kula ubwabwa tuView attachment 160407
Hizi ziara ni za ccm, wewe chadema uawashwa nini? Tulia acha dawa iingie vizuriSioni mantiki ya hawa watu kuendelea kuzunguka nchi nzima na kula hela za walipa kodi na wakiwa hawana msaada wowote huko wanakotembelea.
Mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?
Acheni kudanganya wananchi.
Mbowe na slaa ni mifuko ya rambohuyo kinana ni boksi kabisa hata kwenye account yake fb kaweka jinsia ya kike
Ilibidi uwachukia sana watu waliosababisha upate Elimu duni na kukunyima uwezo wa kufikiri na kuandika! pole sana bibie.Nakuwa na wewe wasiwasi na kufikiri kwako .Maana uposema anatumia fedha za walipa kodi aache kuamasisha chama chake si afadhali yeye kuliko anayezunguka nchi tangu 2010 baada ya uchaguzi akihamasisha watu wagome ?
Hilo ndilo jembe la Ccm . Wewe unataka msaada gani chapa kazi au endelea ku suburb Dr. Slaa auchukue nchi ili awashushie mikate. Hivi unajua ni kiasi gani Dr slaa analipwa na chama? Ni unisaidie mtupi
Sioni mantiki ya hawa watu kuendelea kuzunguka nchi nzima na kula hela za walipa kodi na wakiwa hawana msaada wowote huko wanakotembelea.
Mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?
Acheni kudanganya wananchi.
Umewajua leo? Hao ni majanga siku nyingi mbona?Sioni mantiki ya hawa watu kuendelea kuzunguka nchi nzima na kula hela za walipa kodi na wakiwa hawana msaada wowote huko wanakotembelea.
Mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?
Acheni kudanganya wananchi.
Hakuna rangi mtaacha kuona chini ya kinana, wehu nyie
Mkuu singsong zoea kwanza touch screen ndo uanze kupost, ipo siku utamtukana mwenyekiti wako wa Chama ukiendelea pasipo kufuata ishauri wangu!Nakuwa na wewe wasiwasi na kufikiri kwako .Maana uposema anatumia fedha za walipa kodi aache kuamasisha chama chake si afadhali yeye kuliko anayezunguka nchi tangu 2010 baada ya uchaguzi akihamasisha watu wagome ?
Hilo ndilo jembe la Ccm . Wewe unataka msaada gani chapa kazi au endelea ku suburb Dr. Slaa auchukue nchi ili awashushie mikate. Hivi unajua ni kiasi gani Dr slaa analipwa na chama? Ni unisaidie mtupi