Sera huuzwa,siasa ni kama buziness inaitaji marking na awereness na ili umshinde mpinzan lazima ujue weakness yake nakushaur nenda shule usome how to won political competition ndo utajua kuandika political movement analysis
Duh! jamaa linagawa maharage bila hata kunawa mikono!
inaonyesha wewe ushamtukana sana m/kiti wako japo umeizoea screen touch "ishauri"Mkuu singsong zoea kwanza touch screen ndo uanze kupost, ipo siku utamtukana mwenyekiti wako wa Chama ukiendelea pasipo kufuata ishauri wangu!
"uwachukia" ndio Niki mwenye elimu thabiti?Ilibidi uwachukia sana watu waliosababisha upate Elimu duni na kukunyima uwezo wa kufikiri na kuandika! pole sana bibie.
Pole sana kijana wa shule ya kata, soma hapo kwenye "red" na tolea ufafanuzi!"uwachukia" ndio Niki mwenye elimu thabiti?
Sioni mantiki ya hawa watu kuendelea kuzunguka nchi nzima na kula hela za walipa kodi na wakiwa hawana msaada wowote huko wanakotembelea.
Mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?
Acheni kudanganya wananchi.
Hizi ziara ni za ccm, wewe chadema uawashwa nini? Tulia acha dawa iingie vizuri