karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
Sioni mantiki ya hawa watu kuendelea kuzunguka nchi nzima na kula hela za walipa kodi na wakiwa hawana msaada wowote huko wanakotembelea.
Mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?
Acheni kudanganya wananchi.
Mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaanza kuwakosoa wenzenu kwenye majimbo yao,je mlikotoka nyie kuna maendeleo gani?
Acheni kudanganya wananchi.