Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

Kinana kugombea ubunge Arusha mjini

naninibaraka

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
910
Reaction score
669
Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe
 
Wana JF taarifa zikizopo ni kuwa katibu mkuu wa CCM bwana Kinana atagombea ubunge katika jimbo la Lema mwaka 2015,hivyo wagombea wote na Lema mjiandae kisaikolojia,linakuja jembe

Aliwekewa pingamizi kwenye TUME ya UCHAGUZI na aliyekuwa mgombea wa Ubunge kupitia NCCR-Mageuzi Makongoro Burito Nyerere kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 kuwa Kinana SIO RAIA wa Tanzania!Kinana alikuwa Waziri wa Ulinzi kwenye serikali ya 1990-95 ya Mzee Mwinyi!

Kabla pingamizi haijaanza kusikilizwa KINANA akajitoa kwenye uchaguzi huo na kupelekea Makongoro kushinda kiurahisi sana!Makongoro aliwaambia waandishi wa habari kuwa USHAHIDI ALIO NAO Kinana hawezi pona!Je karekebisha mambo yake sasa ni raia?
 
Hata hasipokuwa Kinana, huu ndio mwisho wa Tigo/shoga
 
Hapa Arusha Agombee yeyote wa CCM, watu watamchagua, Hawa CHADEMA wameharibu mno!
 
Ccm mmesahau mlivyomuweka yule poozeo Buriani mkaangukia pua siyo?mkampeleka jirani hapo nairobi kuwa balozi
 
Lema aanze kujiandaa na jiwe la fatuma lile kuvunjia milango
 
Hata hasipokuwa Kinana, huu ndio mwisho wa Tigo/shoga

Ha ha haaa tigo shoga.?. Mpango wenu ulibuma mijusi wavimba matumbo na mbona sie hatusemi yule mwenye kiti wa chama wako alipoi vaa bikini??? Au hiyo hukuiona?? Photo shop kila mtu anaweza kuitumia na inawezekana hata wewe kupiga tigo ya baba yako kiphotoshop na ukawa unamshuhulikia kisawasawa mzee wako.
 
Ha ha haaa tigo shoga.?. Mpango wenu ulibuma mijusi wavimba matumbo na mbona sie hatusemi yule mwenye kiti wa chama wako alipoi vaa bikini??? Au hiyo hukuiona?? Photo shop kila mtu anaweza kuitumia na inawezekana hata wewe kupiga tigo ya baba yako kiphotoshop na ukawa unamshuhulikia kisawasawa mzee wako.

Kwi! Kwi! Kwiiii!!!!
 
Aje huku aone chamoto tu!
Sisi wa Ar hatuyumbishwi na ela zake tutakula bure!
 
Back
Top Bottom