Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Kinana ndio Board Chairman wa WIA na shareholder mkubwa wako 2nd floor Barclays House, same applies to Six telecoms wako pamoja na Peter N oni ambaye ni mkurugenzi mkuu TIB na ndie aliyekuwa BOT na yale matatizo ya EPA kabla hajateuliwa . PUSH Mobile anae i run ni mtoto wa Tenga sio wa TFF wako fifth floor....FYI push mobile waliomba hilo swala pia ZAIN lakini ZAIN waliwagomea cause hawataki mambo ya siasa though mwanzoni walikubali wakkaanza ona backlash inakuwa kubwa kutoka customers especially international org ambazo hazitaki kupata sms kuhusu mambo ya siasa..Nahabarisha tu
Ni kweli lakini mwenye Shea kubwa ni Wakili Tenga wa BOT wapo wengi wanaotafuna pesa kupitia hiyo kampuni hata Ruge na P funky wote ni wanufaika wa huo mchongo wakiwemo akina January Makamba.hili liko wazi...baadhi ya wahusika wakuu wa makampuni ya Six telecoms,Push Mobile na Wia wote wako jengo moja..ni Mzee Kinana na Peter Noni....fuatilieni brela na TCRA....and connect the dots..
Hakuna kitu hapo kesi itageuzwa geuzwa kijanja janja utashangaa mambo yanaisha Kiimya kimya.NASUBIRI KISIKIA WAMELIPA HIYO 8Bil.
Otherewise wakaombe msamaha.
Rashid alipiga pesa sana Kipindi cha Utawala wa Kikwete na alikuwa na dharau sana ilifika mahala akawa anatukana kila mtu fukuza fukuza ya wafanyakazi ndiyo imemletea haya maafa yote.Marafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?
Yawezekana kabisa kati ya Internet washitakiwa kuna mwenye asili ya somali.Ndiyo maana MD alikua na confidence ya hali ya juuhili liko wazi...baadhi ya wahusika wakuu wa makampuni ya Six telecoms,Push Mobile na Wia wote wako jengo moja..ni Mzee Kinana na Peter Noni....fuatilieni brela na TCRA....and connect the dots..
Bwana weeeee acha tu hasa 2010Rashid alipiga pesa sana Kipindi cha Utawala wa Kikwete na alikuwa na dharau sana ilifika mahala akawa anatukana kila mtu fukuza fukuza ya wafanyakazi ndiyo imemletea haya maafa yote.
Wengine mnataka vielelezo ila wengine wanachafuliwa bila kuyaomba hayaWe need to see the proof uiweke hapa na sio kuanza kusema connect the dots,maana imeishakuwa kama blah blah every one just talks
Tenga ana shea kubwa kuliko wote na mwanae ndiyo hufanya kazi na Rashid na sasa yupo mafichoni kajificha asikamatwe.Kinana ndio Board Chairman wa WIA na shareholder mkubwa wako 2nd floor Barclays House, same applies to Six telecoms wako pamoja na Peter N oni ambaye ni mkurugenzi mkuu TIB na ndie aliyekuwa BOT na yale matatizo ya EPA kabla hajateuliwa . PUSH Mobile anae i run ni mtoto wa Tenga sio wa TFF wako fifth floor....FYI push mobile waliomba hilo swala pia ZAIN lakini ZAIN waliwagomea cause hawataki mambo ya siasa though mwanzoni walikubali wakkaanza ona backlash inakuwa kubwa kutoka customers especially international org ambazo hazitaki kupata sms kuhusu mambo ya siasa..Nahabarisha tu
Kuna mzungu ambaye alimfundisha Rashid kazi kisha akamzika pesa zake na kumfukuza wakiwemo wakenya wawili na baadhi wa Watanzania ambao ndiyo wametoa Siri zote.Bwana weeeee acha tu hasa 2010
Ndo waliomwingiza madarakani.Marafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?
We need to see the proof uiweke hapa na sio kuanza kusema connect the dots,maana imeishakuwa kama blah blah every one just talks[/QUOTE kiswahili hakitakua kwa style hii?
Kwa sababu inawezekana yeye akawa ndo baba yao.Marafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?
Yule Mkenya naye alimzika?Kuna mzungu ambaye alimfundisha Rashid kazi kisha akamzika pesa zake na kumfukuza wakiwemo wakenya wawili na baadhi wa Watanzania ambao ndiyo wametoa Siri zote.
Huo ndio muendelezo wa kufa kwa ccmNa bado...mmoja mmoja wanaanza kuumbuka!
Woote wafikishwe kwa pilatoNdo waliomwingiza madarakani.
Watu wameona pakacha itakuwa tenga? WafungweTenga ana shea kubwa kuliko wote na mwanae ndiyo hufanya kazi na Rashid na sasa yupo mafichoni kajificha asikamatwe.
Ndege wa rangi moja uruka pamojaMarafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?