So kuna siasa ndani yake ingawa wanadaiwa hizo bil 8?Ungemsikiliza mkurugenzi WA six telecom ungeelewa ya kuwa hii ni siasa
No research No right to speak. Una uhakika na pumba ulizoandika hapo!?Kinana ndio Board Chairman wa WIA na shareholder mkubwa wako 2nd floor Barclays House, same applies to Six telecoms wako pamoja na Peter N oni ambaye ni mkurugenzi mkuu TIB na ndie aliyekuwa BOT na yale matatizo ya EPA kabla hajateuliwa . PUSH Mobile anae i run ni mtoto wa Tenga sio wa TFF wako fifth floor....FYI push mobile waliomba hilo swala pia ZAIN lakini ZAIN waliwagomea cause hawataki mambo ya siasa though mwanzoni walikubali wakkaanza ona backlash inakuwa kubwa kutoka customers especially international org ambazo hazitaki kupata sms kuhusu mambo ya siasa..Nahabarisha tu
Huna mamlaka ya kuhoji Nyamafu wewe. Haya madudu yanayofukuliwa sasa hivi unafikiri alifanya uchunguzi mkweo!? Na bado awamu hii mtanyooka tu.Kinachonishangaza na kunisikitisha ni hawa tunaowaita USALAMA WA TAIFA, hivi wanakuwa wapi kugundua hujuma za kijinga kama hizi?
Marafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?
Weee ! unasema kweli mjomba ?Marafiki wa Kikwete wote ni majambazi, hvi kwa nini?
stop talkin crazy,if konana doesn't own them shares tell us who does..hoja inajibiwa na hoja na kama wewe ni mfanyakazi wa six telecoms arrange tukutane nitumbue jipu sio kumbwela:nono::nono::nono: Kinana does not have any shares in Six Telecoms
hili liko wazi...baadhi ya wahusika wakuu wa makampuni ya Six telecoms,Push Mobile na Wia wote wako jengo moja..ni Mzee Kinana na Peter Noni....fuatilieni brela na TCRA....and connect the dots..
The awakening.....!!!Hili liko wazi baadhi ya wahusika wakuu wa makampuni ya Six telecoms,Push Mobile na Wia wote wako jengo moja ambao ni Mzee Kinana na Peter Noni.
Fuatilieni brela na TCRA and connect the dots..
Wakati mwingine ni vyema kujiridhisha na taarifa yeyote kabla ya kuanza kuchafua watu na kuwahusisha na yale ambayo tunafahamu kuwa yatachafua image yao kwenye jamii na kuonyesha kuwa ni watu wa hovyo na wasiofaa kwenye jamii.
Six Telecom haikuwahi kuwa na sio Kampuni inayomilikiwa na Mzee Kinana ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi na wala hana share wala hausiki kwa lolote katika uendeshaji wake.
Ni vyema wakati mwingine mkajiridhisha na jambo kabla ya kuropoka
Unakitu gani kipya....unajua waliopewa siku 7 kulipa Kodi waliyokwepa wamefanywa nini baada ya huo muda kwisha