waza_makubwa
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 215
- 76
asee huu uzi mhusika akiuona yampasa abadilike mapema
sasana yeye mbona jambazi?ni kweli mkuu huwa amekua akiri hilo, na marazote amekuwa akizima microphone kukataza waandishi wasirekodi kile anachozungumza, japo lengo lake linakuwa kuwataka wanachama hasa vijana wasiwaige wao wa kianalogia. hili ndo jembe la kaskazini huwa halipendi unafiki kwenye mikutano yake. ukimsikiza unajikuta unamweshimu mno na kumpenda.for Real!!
KATIKA MKUTANO ULIOKUWA UKIFANYWA NA KINANA MBEYA AKIWA ANAHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI HUKO,KINANA AMEKIrI KWAAMBA CCM WAMEFANYA WIZI WA AINA YAKE KATIKA RASLIMARI ZA UMAA NA UFUJAJI WA PESA ZA UMMA,NA AMEMALIZIA AKISEMA KWAMBA KAMA CCM ISINGEFANYA MATKIO HAYO BASI TUNGEKUWA NA MAENDELEO MARA NNE YA HAyA TULIYONAYO SASA.SOURCE ITV
Wamekupa ziiiileee