Oooh!
Watu makini pia wameshaanza kuhoji kuhusu unafiki wa wazi unaofanywa kwenye ziara hizo tena kwa kukebehi na kudharau wananchi.
Inaelekea Lumumba mkisikia tu Yericko Nyerere, kitu kinachungulia na kurudi ndani ya Masabouri!!Mkuu bora umerudi kulinda kibarua chako,maana Yericko Nyerere halali akiipigania hiyo nafasi.
Inaelekea Lumumba mkisikia tu Yericko Nyerere, kitu kinachungulia na kurudi ndani ya Masabouri!!
Mmezidi njaa nyie,kinana hana njaa hizo mwacheni ajenge chama
umejuaje kama Yericko Nyerere halali kama wewe unalala?Mkuu bora umerudi kulinda kibarua chako,maana Yericko Nyerere halali akiipigania hiyo nafasi.
umejuaje kama Yericko Nyerere halali kama wewe unalala?
Huoni kuwa wewe ndiye mwenye nia ya dhati ukiipigania hiyo nafasi?
Naona Mzee wa Lumumba VUTA-NKUVUTE kaswekwa Lupango
Mkuu bora umerudi kulinda kibarua chako,maana Yericko Nyerere halali akiipigania hiyo nafasi.
niliwahi kulisema hili kuwa kinana anahitaji kubadili mbinu mara kwa mara (creative) siasa za mipasho ziwe na sehemu yake na siasa za beleshi ziwe na mahala pake.
lazima afahamu yupi anakubalika wapi, awachezeshe wachezaji tofauti katika nafasi tofauti kupima uwezo wao na mvuto kwa jamii
Maukawa yamechanganyikiwa na kasi ya mzee kinana....!!!
kuna sintofahamu katika ofisi ndogo za ccm-lumumba kuhusu ziara zinazoendelea za katibu mkuu wa ccm,kanali mstaafu abdurahman kinana. Patashika hiyo ya kichama ni kuhusu hasa timu inayoambatana na kinana katika ziara za mikoani.makada waandamizi wa lumumba wanadai kuwa ziara za kinana hazilengi kuimarisha chama kama zinavyoonekena ila ni kujitangaza na kuwatangaza anaoambatana nao ili kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwakani.
"werevu tunajua.katibu mkuu na timu yake wako katika kujitangaza na kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Hakuna jipya ambalo wanalifanya. Ndiyo maana hata timu yake haibadiliki.ni kwamba amechagua vijana wa kuwatangaza na wengine kuwatenga. Kwanini timu haibadiliki? Kwani nani hawezi kuhutubia na nani hataki posho?" aliuliza kwa kulalama kada mmoja maarufu aliyehamia ccm katika miaka ya karibuni.
"ziara za katibu mkuu zitaleta ubaguzi chamani na mpasuko usio na maana. Chama hakiimarishwi na watu wale wale kila siku.kila kada anaweza kwenda mikoani na kukitangaza chama. Kwanini wale wale hata kama wanaonekana kusema mambo ya kawaida sana? Tunajiandaa kuchukua hatua juu ya hili" alidakia kada mwingine wa ofisi ndogo lumumba
nionavyo,lengo kuu ni posho na umaarufu. Kumbe!??
mzee tupatupa wa lumumba,dar es salaam