Kinana aivuruga Lumumba


Neno moja lenye maana sawa na maelezo yako yote ni 'Mbugi '
 
Kinana kawashika pabaya sana machadema. Enzi za kinana, hakuna chama cha upinzani kitakachotamba
 
hahahaaaaa anakagua Ngozi za wanyama huebda zikawa dili nazo baada ya nanihiii kuwa aghali
 

Ndugu yangu ni ukweli usiofichika ktk chama hiki. Mf Mwenyekiti wao aliwahi kusema ana majina ya majangili wanaoua tembo wetu, ameshindwa nn kuwataja au kuyakabidhi ktk vyombo husika? Waziri ktk Wizara ya Maliasili na Utalii akihitimisha hotuba ya wizara yake hapo jana alisema hakuna ushahidi wakuwakamata majangili. Je yale meno yote yaliokamatwa sio ushahidi? Wakubal tu kwamba CCM ina wenyewe na wenye chama ndio MAJANGILI. Nawaomba ndugu zetu wa CCM watambue kwamba uzalendo umewashinda eti kwakuwa tu serikali iliyoko madarakani ni mali yao, watambue pia kuwa Nchi ni ya Wanzania wote na sio mali yao (ccm).
 

Tatizo ni kuujisahau au kulewa madaraka. Kwamba kuna watu wanadhani CCM itatawala milee. Vinginevyo sidhani kama tena wanafikiria hata kabla ya kuongea jambo. Jambo moja wasemaji watano, kila mtu na lake. Leo Rais ana orodha ya wauza madawa ya kulevya, kuwakamata hapana! Kesho ana listi ya majangili, kuwashitaki...haiwezekani! Kuna mtu anayefikiria kuwa maana ya hilo ni kuwa rais ni muhalifu? Kwa sababu kisheria huwezi kusaidiana na jangili wewe usiwe jangili. Kisheria wakati jangili anashtakiwa, wewe pia unashtakiwa, ila kwa kosa la kusaidiana na majangili! Huyo ndiyo Rais wetu na mawaziri wake!

Limekuja hili la mwaka Meno ya tembo kibao yanakamatwa kila siku. Wahusika hawaonekani! Ukiwauliza watakwambia hii ni idara ya wanyama pori inafanya kazi yake. Hivi kuna anayejua kati yao kuwa kitendo cha kukamatwa kwa meno ya tembo, bila wahalifu kila mara, ni dalili ya uchafu uliokithiri? Kwamba ni aidha majangili yanaachiwa kwa kutoa rushwa, au yanaachiwa kwa amri za viongozi flani? Au huenda hakuna jangili wala meno yanayokamatwa kabisa. Ni meno yanachukuliwa ghalani, yanakwenda kupandwa eneo, kisha yanatangazwa na kupewa publicity tu ili muone wanachapa kazi. Ni kweli siyo rahisi watu kushtuka, lakini ni mbinu hiyohiyo polisi wamekuwa wakiitumia kila siku. Tangu lini polisi akawa na tabia ya kupanda kwenye media kila siku? Na kama wahalifu wandhibitiwa kiasi hicho mbona hawaishi mitaani? Na kama ni kweli polisi ina uwezo kiasi hicho mbona wahalifu wanaojulikana kabisa wanazunguka tu mitaani baada ya kuachiwa bila maelezo ya kutosha?

Najua kuna siku itafika. Siku ambayo udhalimu utafika mwisho. Na siku hiyo ikifika, nawahakikishia wengi wa mnaowaita viongozi, watakimbia Nchi hii kwa kuhofia kuwajibishwa kwa makosa yao! Hiyo ndiyo siku ninayoingojea kwa hamu.
 
Kaileta mh Mbowe hiyo, ni mpira wa miguu ila mchezaji yeyote anafunga kokote, hamna sheria zinazofuatwa, hata usipovaa jezi sawa tu. Ndio ccm, yeyote anasema chochote popote
 
Vijana wa lumumba wana njaa kali sana hasa ukizingatia kwamba ajira hakuna.
 

Kwani hawa akina Shonza et al hawajui kuwa CCM ina wenyewe? Watambue kuwa wao walitumika kama condom na sasa ni makapi yasiyofaa mbele ya CCM ... Mtabwabwaja sana lakini angalieni huko huwa wanavuta kucha na kung'oa meno ikibidi! ...
 
Kinana anatisha.

Kinena hana lolote zaidi ya kuuwa Tembo wetu. Kama anajidanganya kufanya kampeni ili kugombea Urahisi wa nji hii mwaka 2015 basi anapoteza muda wake bure! Kwanza ameshatutukana Watanzania kwa kutuita MAEMBE kwa vile tu tunawashabikia wapinzani!

Hatuwezi kukubali nchi ya Watanganyika itawaliwe na Nyang'au la Kisomali. Never ever! Kama anataka urahisi wa kula nchi kwa kuuza pembe za Ndovu arudi kwao Somalia au akajiunge na Al-shaabab!!
 
Haha..nidhani ni kiboko ya CDM km wanavyojitangaza kumbe ni kiboko ya CCM?
 
Wewe ndio katika wale jk aliowaita viwanda vya uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…