hakika ccm ni hatari ! mwanajeshi mstaafu anawezaje kumiliki meli ?
Utajiri wa kuweza kumiliki meli kaupata wapi?
kiongozi unaweza kufunguka zaidi ya hapo ?Mnashangaa nini kama mnakumbukumbu bwana huyo alishawahi kuhusishwa na kashfa ya Loliondo gate miaka 90 kwa hiyo yanayotokea siajabu kuhusika
Duh! eee bhana hii ni hatari sana !Hii tumbua tumbua majipu ya magufuli naona imeanza kuwachanga viongozi wa kuu wa ccm akiwemo katibu mkuu wa ccm ndg. Abdulrahaman kinana. Nakijifanya kuwa anampongeza magufuli kwa utendajikazi wake ilikujaribu kukwepa rungu la magufuli lisi mfikie maana ndg: Kinana ana lijipu ambalo linahitaji kutumbuliwa bila ganzi
kinana ndio mpigaji wa meno ya tembo wetu hivyo tunakuomba mh: Magufuli utumbue hili jipu haraka kabla tembo wetu hawaja isha.
Kinana ndio alie jimilikisha eneo la serikali nakufungua icd au bandari kavu ya magari inayo julikana kwa jina la (tal) kinyume cha sheria
kinana ana miliki shipping line tatu
1: Diamond shipping line
2: Sharaf shipping line
3: Emirate shpping line
tunahitaji kujua hizi mali zote amepata wapi?
wtz acha waibiwe tu