cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,878
- 1,622
Sidhani kama umemwelewaHiyo pension unaitoa wapi, wakati mtashindwa mapema asbh
Hapo penye red,kama habari hii ni kweli,ni matokeo ya kulipa fadhilaWadau hakuna namna nyingine ya kuchanganyikiwa zaidi ya hii!
Labda kwa jicho moja tuone hivyo,Labda kwa jicho lingine tuone kama matokeo yalishaamuliwa kabla ya kampeni kuanza.Watoto wa mjini wanasema "CCM walikuwa wanatuejoy, walishapanga matokeo kabla ya mechi".
Soma hapa
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli ameunda jopo maalumu la wanataaluma na wataalamu kutoka kada mbali mbali ikiwa ni maandalizi ya uundaji wa serikali yake endapo atashinda urais.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, January Makamba alisema kuwa jopo hilo la wanataaluma na wataalamu wa uchumi, biashara, utawala na sheria, kutoka kwenye taasisi za elimu ya juu, asasi zisizo za kiraia, na sekta binafsi, wamepewa majukumu maalumu ya kufanya mabadiliko makubwa serikalini kuanzia siku ya kwanza ambayo Magufuli atakuwa madarakani.
Makamba ameyataja baadhi ya majukumu hayo kuwa ni kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itabana matumizi, ikiwemo manunuzi ya umma, posho za vikao na matumizi ya magari, ili Magufuli aweze kufanya maamuzi ya haraka kuyatatua matatizo hayo.
Majukumu mengine ambayo jopo hilo limepewa ni pamoja na kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itaongeza mapato mara moja bila hatua za kibajeti, kuchunguza na kupendekeza maboresho makubwa katika mfumo wa utendaji na utumishi na ufanisi katika Serikali.
"Kupitia kodi na ushuru wenye usumbufu kwa wafanyabiashara wa ngazi zote, wakulima, wafugaji na wavuvi iwapo unaweza kurekebishwa bila kuathiri bajeti ya Serikali inayotekelezwa sasa, kupitia sheria zote za nchi na kuorodhesha Sheria ambazo zinapaswa kubadilishwa haraka ili kuharakisha mabadiliko ya kweli na ya haraka ambayo ameyaahidi kwa Watanzania," alisema Makamba.
Kupitia na kuorodhesha masuala yote na kero zote zinazosubiri maamuzi ya Serikali ili atoe maamuzi kuanzia siku ya kwanza atakapoapishwa.
Kwa mujibu wa Makamba, Dk Magufuli ameazimia kuanza kazi kwa bidii na maarifa, ndiyo maana ameunda jopo hilo. Alisema jopo hilo linapaswa pia kupendekeza miundo na idadi ya Wizara na kutengeneza rasimu za mikataba ya kazi kwa Mawaziri, Makatibu Wakuu na watendaji wengine wakuu atakaowateua mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa Tanzania.
Sidhani kama umemwelewa
Magufuli ndio Rais wa awamu inayokuja
Wana bodi!
Hali ya CCM ni mbaya sana. Hawakutegemea kabisa kuwa watanzania watawakataa kama inavyotokea sasa. Na katika ku-panic na kuonyesha taharuki wamejikuta wanafanya mambo yanayozidi kuwafumbua wananchi macho na kuiona CCM ni kundi la matapeli:
1; Matusi ndio imekuwa ilani yao ya uchaguzi.
2: Magufuli ameshindwa kujinadi kwa kutumia jina la CCM na badala yake anajinadi kama mgombea binafsi.
3: Na kali ya funga kazi ni hii iliyotokea leo: wamekuja na mpango wa maandalizi ya ilani mpya huku ile ya zamani wakiwa wameitupa. Hebu oneni huu utapeli:
My take: CCM wanazidi kuonyesha utapeli, ulaghai na kuwa ni wale wale wala hawakuwa wamejiandaa. Hivi kweli inaweza kuingia akilini mtu kusema Chama kilichotawala muda wote huu haya mambo kilikuwa hakiyajui na sasa ndio wameshtuka na wanaanza kuchunguza? Si ni kwasababu wameona hali ni mbaya ndio maana wanakuja na mipango mipya huku hata iliyopo kwenye ilani haijatekelezwa?
#Hapakazitu. Tarehe 26/10/2015 alfajiri kabla ya Jogoo hajawika watu watasaga meno kwa kutoamini kilichotokea Tanzania!
Wadau hakuna namna nyingine ya kuchanganyikiwa zaidi ya hii!
Labda kwa jicho moja tuone hivyo,Labda kwa jicho lingine tuone kama matokeo yalishaamuliwa kabla ya kampeni kuanza.Watoto wa mjini wanasema "CCM walikuwa wanatuejoy, walishapanga matokeo kabla ya mechi".
Soma hapa
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli ameunda jopo maalumu la wanataaluma na wataalamu kutoka kada mbali mbali ikiwa ni maandalizi ya uundaji wa serikali yake endapo atashinda urais.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, January Makamba alisema kuwa jopo hilo la wanataaluma na wataalamu wa uchumi, biashara, utawala na sheria, kutoka kwenye taasisi za elimu ya juu, asasi zisizo za kiraia, na sekta binafsi, wamepewa majukumu maalumu ya kufanya mabadiliko makubwa serikalini kuanzia siku ya kwanza ambayo Magufuli atakuwa madarakani.
Makamba ameyataja baadhi ya majukumu hayo kuwa ni kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itabana matumizi, ikiwemo manunuzi ya umma, posho za vikao na matumizi ya magari, ili Magufuli aweze kufanya maamuzi ya haraka kuyatatua matatizo hayo.
Majukumu mengine ambayo jopo hilo limepewa ni pamoja na kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itaongeza mapato mara moja bila hatua za kibajeti, kuchunguza na kupendekeza maboresho makubwa katika mfumo wa utendaji na utumishi na ufanisi katika Serikali.
Kupitia kodi na ushuru wenye usumbufu kwa wafanyabiashara wa ngazi zote, wakulima, wafugaji na wavuvi iwapo unaweza kurekebishwa bila kuathiri bajeti ya Serikali inayotekelezwa sasa, kupitia sheria zote za nchi na kuorodhesha Sheria ambazo zinapaswa kubadilishwa haraka ili kuharakisha mabadiliko ya kweli na ya haraka ambayo ameyaahidi kwa Watanzania, alisema Makamba.
Kupitia na kuorodhesha masuala yote na kero zote zinazosubiri maamuzi ya Serikali ili atoe maamuzi kuanzia siku ya kwanza atakapoapishwa.
Kwa mujibu wa Makamba, Dk Magufuli ameazimia kuanza kazi kwa bidii na maarifa, ndiyo maana ameunda jopo hilo. Alisema jopo hilo linapaswa pia kupendekeza miundo na idadi ya Wizara na kutengeneza rasimu za mikataba ya kazi kwa Mawaziri, Makatibu Wakuu na watendaji wengine wakuu atakaowateua mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa Tanzania.
Hapo penye red,kama habari hii ni kweli,ni matokeo ya kulipa fadhila
kwa wasomi hao waliotuhadaa watanzania kwa tafiti zenye malengo
ya kuwabeba baadhi ya wagombea ili kufanikisha dhamira zao za kuja baada ya uchaguzi kulipwa fadhira.
kwa kuongwa vyeo na fedha za umma kwa kisingizio cha kufanya tafiti.
Na hapa ndipo wananchi tunatakiwa kuamka,kujikomboa wenyewe kwa
kufanya kitu kinaitwa ''trial and error'' bila kusubiri hao wanaojiita wasomi
huku wakishikishwa kitu kidogo wanaukana usomi wao na kuitukana taaluma yao
ilimradi mkono uende kinywani.
Hata mahospitalini uchunguzi ukishindikana wanafanya majaribio ya dawa
ni ipi inaweza kuua vimelea.Sasa watanzania tuamue kufanya yetu
pasipo kuwasikiliza wasomi ilimradi tusivunje sheria,Mpaka sasa
naamini kukiondoa chama tawala madarakani siyo uvunjifu wa sheria
Tufanye majaribio kwa vyama vingine walau kwa miaka hii mitano.
endapo nao wataharibu hatutakuwa na la kujuta kwani hata tukiweka
waliopo wanaendelea kuharibu.Hayo makosa yetu tutayarekebisha kwa uchaguzi ujao.
Shime vijana na wazee wanaojitambua,tuungane
tuutokomeze ukoloni maboleo,na kura yako ndo
silaha yenye kufanikisha hilo pasipokumwaga damu yoyote.
Never....!Magufuli ndio Rais wa awamu inayokuja
Wadau hakuna namna nyingine ya kuchanganyikiwa zaidi ya hii!
Labda kwa jicho moja tuone hivyo,Labda kwa jicho lingine tuone kama matokeo yalishaamuliwa kabla ya kampeni kuanza.Watoto wa mjini wanasema "CCM walikuwa wanatuejoy, walishapanga matokeo kabla ya mechi".
Soma hapa
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli ameunda jopo maalumu la wanataaluma na wataalamu kutoka kada mbali mbali ikiwa ni maandalizi ya uundaji wa serikali yake endapo atashinda urais.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, January Makamba alisema kuwa jopo hilo la wanataaluma na wataalamu wa uchumi, biashara, utawala na sheria, kutoka kwenye taasisi za elimu ya juu, asasi zisizo za kiraia, na sekta binafsi, wamepewa majukumu maalumu ya kufanya mabadiliko makubwa serikalini kuanzia siku ya kwanza ambayo Magufuli atakuwa madarakani.
Makamba ameyataja baadhi ya majukumu hayo kuwa ni kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itabana matumizi, ikiwemo manunuzi ya umma, posho za vikao na matumizi ya magari, ili Magufuli aweze kufanya maamuzi ya haraka kuyatatua matatizo hayo.
Majukumu mengine ambayo jopo hilo limepewa ni pamoja na kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itaongeza mapato mara moja bila hatua za kibajeti, kuchunguza na kupendekeza maboresho makubwa katika mfumo wa utendaji na utumishi na ufanisi katika Serikali.
Kupitia kodi na ushuru wenye usumbufu kwa wafanyabiashara wa ngazi zote, wakulima, wafugaji na wavuvi iwapo unaweza kurekebishwa bila kuathiri bajeti ya Serikali inayotekelezwa sasa, kupitia sheria zote za nchi na kuorodhesha Sheria ambazo zinapaswa kubadilishwa haraka ili kuharakisha mabadiliko ya kweli na ya haraka ambayo ameyaahidi kwa Watanzania, alisema Makamba.
Kupitia na kuorodhesha masuala yote na kero zote zinazosubiri maamuzi ya Serikali ili atoe maamuzi kuanzia siku ya kwanza atakapoapishwa.
Kwa mujibu wa Makamba, Dk Magufuli ameazimia kuanza kazi kwa bidii na maarifa, ndiyo maana ameunda jopo hilo. Alisema jopo hilo linapaswa pia kupendekeza miundo na idadi ya Wizara na kutengeneza rasimu za mikataba ya kazi kwa Mawaziri, Makatibu Wakuu na watendaji wengine wakuu atakaowateua mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa Tanzania.