Kinachouma zaidi ni Lissu akirudi hata ambao hawakumpenda watampenda zaidi

likandambwasada

JF-Expert Member
May 27, 2015
5,402
6,072
Waafrika tumezaliwa na silika ya unafiki na kulipenda jambo baada ya kulikosa.
Inawezekana hii ni silika ya binadamu wote, ila mimi kwa uzoefu wangu watanzania tunakipenda kitu baada ya kupotea.

Mtu akifa atapewa kila aina ya sifa.

Msanii akifa basi nyimbo zake zitapgwa kwenye radio utadhani amerekodi leo

Shambuliz la Lissu ni wazi kuwa lililenga kuua na kama si Mungu, leo kila mtu angekuwa busy kupitia hotuba za lisu kwa mapenz ya juu hata kama alikuwa anampuuza enzi za uhai wake.

Lakini sasa maadui zake wapo tumbo joto kwa sababu umaarufu wa lisu umeongezeka zaidi ya 500%, hata ambao walikuwa hawamfuatilii wanafuatilia habari zake.

Lisu akirudi atapendwa na kufuatlia kwa karibu na hata ambao walimpuuza mwanzo na hvyo kupeleka majonzi kwa maadui zake, kwa hakika inauma sana, unampga chura teke ukitegeme utamwumiza kumbe ndyo kwanza umemsaidia.

Ugua pole lisu, Mungu akupe afya imara watanzania wanakusubiri kwa hamu na wamekumis sana.
 
Hapo ndipo utakapowashangaa wananchi.. kila binadamu akipatwa na janga huonewa huruma.. ni kawaida. Ikija kwenye siasa mmmh hakuna nayeweza kumzidi mtawala wetu wa sasa.. akipendwa hakuna tabu muhimu akumbuke kuwa ana vyeo vitatu na ajue jinsi ya kutendea vyote haki.. amebeba mzigo hasiouweza kabisa kama jimboni ndio hapakumbuki.. kisa kutafuta kiki ambazo kwenye chama chake hawezi kupewa nafasi anayoitaka.. labda aende kujiunga na Zitto ampe nafasi anayotaka.. kwa kifupi ni majanga juu ya majanga. Akirudi pia akumbuke kuacha kudanganya umma.. kama alivyosema hakuna nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu na akaumbuka juzi live mbele ya umma pia.. aliipigia kelele akijua wengi wafata mikumbo wenye kuumia kupigwa na mabomu ya kutoweza kuiba pesa za walipa kodi watadakia tu. Pia yeye na wenzake waache kupanga majanga ambayo yanabuma.. yaani mipango yote haijaenda shulr kabisa.. na hata hao wengine wanaowashwa washwa pia wanapanga hadi mtu anajiuliza akili zao zikoje.. hawajui kupanga makombola.. kuna kupanga na hata iweje miaka 1000 ijayo watu watabaki ??? Sasa haya ya kijinga kabisa inabaki mtu unacheka.. kiherehere cha uharaka ndio kimezidi kuonyesha upinzani ni janga la Taifa na hawana jipya kabisaaa la kuendeleza nchi yetu zaidi ya matumbo yao kushiba tu. Pesa za matibabu nimeona wengine wanaulizia.. ila aibu ya kudakia ya serikali na yake wengi wamekaa kimha.. eeeeh
Namuombea apone aje aone kwamba mambo yake hayana kiki na hayatusaidii wananchi kutuendeleza atulie hajui ku multi tast akae chini aachie vyeo vingine.. ila ile ya maandamano ya wa TLS aliumbuka haswaaaaa aibu kubwaaa akakaa kimya mara kushambuliwa.. haya hizi njia mengine mmmmh yatakuja kuwa kweli na sio majaribio. Nasubiri uchambuzi wa mamlaka zetu juu ya hizo risasi.. matundu na sehemu alikaa na ziliingia kutokea angle zipi.. natumaini wanaohusika watayaangalia haya yoteeee.. na dereva duh kaikimbia polisi... mengi yamejiri na yanajiri.. wengine na mie tunaangalia.. nisiandike mengi mie ninayohisi au ninayoona yamo
 
MKUU, SIJAANZISHA UZI HUU KWA AJILI YA KUMPONDA LISU TAFADHALI USINICHONGANISHE. HUWA SIPENDI KUMPONDA MTU ALIYE KWENYE MATATIZO
 
Hapo ndipo utakapowashangaa wananchi.. kila binadamu akipatwa na janga huonewa huruma.. ni kawaida. Ikija kwenye siasa mmmh hakuna nayeweza kumzidi mtawala wetu wa sasa.. akipendwa hakuna tabu muhimu akumbuke kuwa ana vyeo vitatu na ajue jinsi ya kutendea vyote haki.. amebeba mzigo hasiouweza kabisa kama jimboni ndio hapakumbuki.. kisa kutafuta kiki ambazo kwenye chama chake hawezi kupewa nafasi anayoitaka.. labda aende kujiunga na Zitto ampe nafasi anayotaka.. kwa kifupi ni majanga juu ya majanga. Akirudi pia akumbuke kuacha kudanganya umma.. kama alivyosema hakuna nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu na akaumbuka juzi live mbele ya umma pia.. aliipigia kelele akijua wengi wafata mikumbo wenye kuumia kupigwa na mabomu ya kutoweza kuiba pesa za walipa kodi watadakia tu. Pia yeye na wenzake waache kupanga majanga ambayo yanabuma.. yaani mipango yote haijaenda shulr kabisa.. na hata hao wengine wanaowashwa washwa pia wanapanga hadi mtu anajiuliza akili zao zikoje.. hawajui kupanga makombola.. kuna kupanga na hata iweje miaka 1000 ijayo watu watabaki ??? Sasa haya ya kijinga kabisa inabaki mtu unacheka.. kiherehere cha uharaka ndio kimezidi kuonyesha upinzani ni janga la Taifa na hawana jipya kabisaaa la kuendeleza nchi yetu zaidi ya matumbo yao kushiba tu. Pesa za matibabu nimeona wengine wanaulizia.. ila aibu ya kudakia ya serikali na yake wengi wamekaa kimha.. eeeeh
Namuombea apone aje aone kwamba mambo yake hayana kiki na hayatusaidii wananchi kutuendeleza atulie hajui ku multi tast akae chini aachie vyeo vingine.. ila ile ya maandamano ya wa TLS aliumbuka haswaaaaa aibu kubwaaa akakaa kimya mara kushambuliwa.. haya hizi njia mengine mmmmh yatakuja kuwa kweli na sio majaribio. Nasubiri uchambuzi wa mamlaka zetu juu ya hizo risasi.. matundu na sehemu alikaa na ziliingia kutokea angle zipi.. natumaini wanaohusika watayaangalia haya yoteeee.. na dereva duh kaikimbia polisi... mengi yamejiri na yanajiri.. wengine na mie tunaangalia.. nisiandike mengi mie ninayohisi au ninayoona yamo
Rudi darasani ukajifunze kwanza kuandika vizuri, maana kama uandishi tu ni kama hivi shida tupu utawezaje kujenga hoja?
 
Hapo ndipo utakapowashangaa wananchi.. kila binadamu akipatwa na janga huonewa huruma.. ni kawaida. Ikija kwenye siasa mmmh hakuna nayeweza kumzidi mtawala wetu wa sasa.. akipendwa hakuna tabu muhimu akumbuke kuwa ana vyeo vitatu na ajue jinsi ya kutendea vyote haki.. amebeba mzigo hasiouweza kabisa kama jimboni ndio hapakumbuki.. kisa kutafuta kiki ambazo kwenye chama chake hawezi kupewa nafasi anayoitaka.. labda aende kujiunga na Zitto ampe nafasi anayotaka.. kwa kifupi ni majanga juu ya majanga. Akirudi pia akumbuke kuacha kudanganya umma.. kama alivyosema hakuna nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu na akaumbuka juzi live mbele ya umma pia.. aliipigia kelele akijua wengi wafata mikumbo wenye kuumia kupigwa na mabomu ya kutoweza kuiba pesa za walipa kodi watadakia tu. Pia yeye na wenzake waache kupanga majanga ambayo yanabuma.. yaani mipango yote haijaenda shulr kabisa.. na hata hao wengine wanaowashwa washwa pia wanapanga hadi mtu anajiuliza akili zao zikoje.. hawajui kupanga makombola.. kuna kupanga na hata iweje miaka 1000 ijayo watu watabaki ??? Sasa haya ya kijinga kabisa inabaki mtu unacheka.. kiherehere cha uharaka ndio kimezidi kuonyesha upinzani ni janga la Taifa na hawana jipya kabisaaa la kuendeleza nchi yetu zaidi ya matumbo yao kushiba tu. Pesa za matibabu nimeona wengine wanaulizia.. ila aibu ya kudakia ya serikali na yake wengi wamekaa kimha.. eeeeh
Namuombea apone aje aone kwamba mambo yake hayana kiki na hayatusaidii wananchi kutuendeleza atulie hajui ku multi tast akae chini aachie vyeo vingine.. ila ile ya maandamano ya wa TLS aliumbuka haswaaaaa aibu kubwaaa akakaa kimya mara kushambuliwa.. haya hizi njia mengine mmmmh yatakuja kuwa kweli na sio majaribio. Nasubiri uchambuzi wa mamlaka zetu juu ya hizo risasi.. matundu na sehemu alikaa na ziliingia kutokea angle zipi.. natumaini wanaohusika watayaangalia haya yoteeee.. na dereva duh kaikimbia polisi... mengi yamejiri na yanajiri.. wengine na mie tunaangalia.. nisiandike mengi mie ninayohisi au ninayoona yamo
Yaani wewe nizaidi ya mbwa koko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumpenda mtu au kumkubali kwa misingi ya huruma ni matumizi mabaya ya akili.
atapingwa kwa uzushi usio na uthibitisho na kupendwa kwa facts na constructive criticism.

l
 
Hapo ndipo utakapowashangaa wananchi.. kila binadamu akipatwa na janga huonewa huruma.. ni kawaida. Ikija kwenye siasa mmmh hakuna nayeweza kumzidi mtawala wetu wa sasa.. akipendwa hakuna tabu muhimu akumbuke kuwa ana vyeo vitatu na ajue jinsi ya kutendea vyote haki.. amebeba mzigo hasiouweza kabisa kama jimboni ndio hapakumbuki.. kisa kutafuta kiki ambazo kwenye chama chake hawezi kupewa nafasi anayoitaka.. labda aende kujiunga na Zitto ampe nafasi anayotaka.. kwa kifupi ni majanga juu ya majanga. Akirudi pia akumbuke kuacha kudanganya umma.. kama alivyosema hakuna nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu na akaumbuka juzi live mbele ya umma pia.. aliipigia kelele akijua wengi wafata mikumbo wenye kuumia kupigwa na mabomu ya kutoweza kuiba pesa za walipa kodi watadakia tu. Pia yeye na wenzake waache kupanga majanga ambayo yanabuma.. yaani mipango yote haijaenda shulr kabisa.. na hata hao wengine wanaowashwa washwa pia wanapanga hadi mtu anajiuliza akili zao zikoje.. hawajui kupanga makombola.. kuna kupanga na hata iweje miaka 1000 ijayo watu watabaki ??? Sasa haya ya kijinga kabisa inabaki mtu unacheka.. kiherehere cha uharaka ndio kimezidi kuonyesha upinzani ni janga la Taifa na hawana jipya kabisaaa la kuendeleza nchi yetu zaidi ya matumbo yao kushiba tu. Pesa za matibabu nimeona wengine wanaulizia.. ila aibu ya kudakia ya serikali na yake wengi wamekaa kimha.. eeeeh
Namuombea apone aje aone kwamba mambo yake hayana kiki na hayatusaidii wananchi kutuendeleza atulie hajui ku multi tast akae chini aachie vyeo vingine.. ila ile ya maandamano ya wa TLS aliumbuka haswaaaaa aibu kubwaaa akakaa kimya mara kushambuliwa.. haya hizi njia mengine mmmmh yatakuja kuwa kweli na sio majaribio. Nasubiri uchambuzi wa mamlaka zetu juu ya hizo risasi.. matundu na sehemu alikaa na ziliingia kutokea angle zipi.. natumaini wanaohusika watayaangalia haya yoteeee.. na dereva duh kaikimbia polisi... mengi yamejiri na yanajiri.. wengine na mie tunaangalia.. nisiandike mengi mie ninayohisi au ninayoona yamo
Nianze kwa kukupa pole kwa namna ulivyo chechemea kuandika.Uandishi wako tu unatosha kwa mtu msomi kukupuuza!!Lkn nimalizie tu kwa kukwambia kwamba,ulichokiandika pia hakieleweki.
 
...Mtu akifa atapewa kila aina ya sifa.

Msanii akifa basi nyimbo zake zitapgwa kwenye radio utadhani amerekodi leo

....Lakini sasa maadui zake wapo tumbo joto kwa sababu umaarufu wa lisu umeongezeka zaidi ya 500%, hata ambao walikuwa hawamfuatilii wanafuatilia habari zake.

Lisu akirudi atapendwa na kufuatlia kwa karibu na hata ambao walimpuuza mwanzo na hvyo kupeleka majonzi kwa maadui zake, kwa hakika inauma sana, unampga chura teke ukitegeme utamwumiza kumbe ndyo kwanza umemsaidia....
Kama ndio hivyo basi alimwe shaba zaidi ili apendwe na watanzania wote. Hapa swala sio umaarufu bali uhai wa mtu. Acheni kufanya sakata la Lisu kuwa mtaji wa kisiasa nyie bavicha.
 
Hapo ndipo utakapowashangaa wananchi.. kila binadamu akipatwa na janga huonewa huruma.. ni kawaida. Ikija kwenye siasa mmmh hakuna nayeweza kumzidi mtawala wetu wa sasa.. akipendwa hakuna tabu muhimu akumbuke kuwa ana vyeo vitatu na ajue jinsi ya kutendea vyote haki.. amebeba mzigo hasiouweza kabisa kama jimboni ndio hapakumbuki.. kisa kutafuta kiki ambazo kwenye chama chake hawezi kupewa nafasi anayoitaka.. labda aende kujiunga na Zitto ampe nafasi anayotaka.. kwa kifupi ni majanga juu ya majanga. Akirudi pia akumbuke kuacha kudanganya umma.. kama alivyosema hakuna nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu na akaumbuka juzi live mbele ya umma pia.. aliipigia kelele akijua wengi wafata mikumbo wenye kuumia kupigwa na mabomu ya kutoweza kuiba pesa za walipa kodi watadakia tu. Pia yeye na wenzake waache kupanga majanga ambayo yanabuma.. yaani mipango yote haijaenda shulr kabisa.. na hata hao wengine wanaowashwa washwa pia wanapanga hadi mtu anajiuliza akili zao zikoje.. hawajui kupanga makombola.. kuna kupanga na hata iweje miaka 1000 ijayo watu watabaki ??? Sasa haya ya kijinga kabisa inabaki mtu unacheka.. kiherehere cha uharaka ndio kimezidi kuonyesha upinzani ni janga la Taifa na hawana jipya kabisaaa la kuendeleza nchi yetu zaidi ya matumbo yao kushiba tu. Pesa za matibabu nimeona wengine wanaulizia.. ila aibu ya kudakia ya serikali na yake wengi wamekaa kimha.. eeeeh
Namuombea apone aje aone kwamba mambo yake hayana kiki na hayatusaidii wananchi kutuendeleza atulie hajui ku multi tast akae chini aachie vyeo vingine.. ila ile ya maandamano ya wa TLS aliumbuka haswaaaaa aibu kubwaaa akakaa kimya mara kushambuliwa.. haya hizi njia mengine mmmmh yatakuja kuwa kweli na sio majaribio. Nasubiri uchambuzi wa mamlaka zetu juu ya hizo risasi.. matundu na sehemu alikaa na ziliingia kutokea angle zipi.. natumaini wanaohusika watayaangalia haya yoteeee.. na dereva duh kaikimbia polisi... mengi yamejiri na yanajiri.. wengine na mie tunaangalia.. nisiandike mengi mie ninayohisi au ninayoona yamo
Acha Kelele pimbi ww hujui kwanza kuandika na ligazeti lako sijui The Guardian umetuandikia ww Kwan Nan asiyekujua wa Lumumba unapayuka payuka tu kila kukicha utwala gn unaouongelea ww wa kutaka watu wasiongee na kuwanyamazisha kwa kuwapga Risas? Tubishaneni kwa hoja sio nguvu so unadhani baba Bashite na mwanae hawakuhusika na hili?.Hebu jiulize kwa nn lilitokea siku ya kusomwa kwa ripot ya Almas iliyokuwa ikipingwa na upinzani?Kwa nn siku hii lile fafafa la Dsm halikuwa ikulu kwenye kukabdhiwa ripot? Mnajua mipango yenu ya kidhalimu mliodhamiria kufanya kwa wakt ule na kwa ss mmechuti watanzania sio Wasengerema km mnavyofikir mxiiiiiiiiiiiiiiiuuuu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndipo utakapowashangaa wananchi.. kila binadamu akipatwa na janga huonewa huruma.. ni kawaida. Ikija kwenye siasa mmmh hakuna nayeweza kumzidi mtawala wetu wa sasa.. akipendwa hakuna tabu muhimu akumbuke kuwa ana vyeo vitatu na ajue jinsi ya kutendea vyote haki.. amebeba mzigo hasiouweza kabisa kama jimboni ndio hapakumbuki.. kisa kutafuta kiki ambazo kwenye chama chake hawezi kupewa nafasi anayoitaka.. labda aende kujiunga na Zitto ampe nafasi anayotaka.. kwa kifupi ni majanga juu ya majanga. Akirudi pia akumbuke kuacha kudanganya umma.. kama alivyosema hakuna nafasi ya Kaimu Jaji Mkuu na akaumbuka juzi live mbele ya umma pia.. aliipigia kelele akijua wengi wafata mikumbo wenye kuumia kupigwa na mabomu ya kutoweza kuiba pesa za walipa kodi watadakia tu. Pia yeye na wenzake waache kupanga majanga ambayo yanabuma.. yaani mipango yote haijaenda shulr kabisa.. na hata hao wengine wanaowashwa washwa pia wanapanga hadi mtu anajiuliza akili zao zikoje.. hawajui kupanga makombola.. kuna kupanga na hata iweje miaka 1000 ijayo watu watabaki ??? Sasa haya ya kijinga kabisa inabaki mtu unacheka.. kiherehere cha uharaka ndio kimezidi kuonyesha upinzani ni janga la Taifa na hawana jipya kabisaaa la kuendeleza nchi yetu zaidi ya matumbo yao kushiba tu. Pesa za matibabu nimeona wengine wanaulizia.. ila aibu ya kudakia ya serikali na yake wengi wamekaa kimha.. eeeeh
Namuombea apone aje aone kwamba mambo yake hayana kiki na hayatusaidii wananchi kutuendeleza atulie hajui ku multi tast akae chini aachie vyeo vingine.. ila ile ya maandamano ya wa TLS aliumbuka haswaaaaa aibu kubwaaa akakaa kimya mara kushambuliwa.. haya hizi njia mengine mmmmh yatakuja kuwa kweli na sio majaribio. Nasubiri uchambuzi wa mamlaka zetu juu ya hizo risasi.. matundu na sehemu alikaa na ziliingia kutokea angle zipi.. natumaini wanaohusika watayaangalia haya yoteeee.. na dereva duh kaikimbia polisi... mengi yamejiri na yanajiri.. wengine na mie tunaangalia.. nisiandike mengi mie ninayohisi au ninayoona yamo

Tundu ni tundu tu na magu ni magu.na magu ni jemedari

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ndio hivyo basi alimwe shaba zaidi ili apendwe na watanzania wote. Hapa swala sio umaarufu bali uhai wa mtu. Acheni kufanya sakata la Lisu kuwa mtaji wa kisiasa nyie bavicha.
Umri wa kubeba mimba ukipitiliza hata madhara kwa jamii tutayaona

UROPOKAJI
 
Watu wa upande wa pili wanadai Lissu ni msaliti!! Nauliza kwa upole kabisa amesaliti nini?! Mwenye kujua atusaidie

Na je wale waliosaini mikataba inayosema hakuna haja ya mrahaba!! Wale wanaitwaje?! Kwa sababu saini zao zinatutesa leo!!

Cairo's
 
Siwezi penda mtetezi Wa watu weupe, Hata chief mangungo sikumpendaga

17 PHD these are results
 
Mwambie huyo anaye tumia buku saba kufikiri.jemadari wakuuwa raia,kunavita hapa nchini,mbona hamtutangazii vita hii, mnapigania gizani na kuropoka kila neno kwakuweweseka na kuunguza gari bila mwenye gari kutoa taarifa,kama nyie majemedari !!! Kila kitu mnatanguliza uhasama,ubaya,kejeli,bila kujali mazingira ni ya ainagani !!! Mtakamatwa tu huu sio wakati wa tanu.dunia yote inataarifa wasiojulikana wa serikali, ndo wanaotawala Tanzania sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa upande wa pili wanadai Lissu ni msaliti!! Nauliza kwa upole kabisa amesaliti nini?! Mwenye kujua atusaidie

Na je wale waliosaini mikataba inayosema hakuna haja ya mrahaba!! Wale wanaitwaje?! Kwa sababu saini zao zinatutesa leo!!

Cairo's
Mkuu, maswali kama haya wenyewe badala ya kuyajibu wanatuma watu wenye bunduki kukutembelea huku wanapokea taarifa za almasi. Hawana ubavu wa kuzijibu hoja. Ni kwa nini hadi leo wanasaini "bogus treaty"? Wanashika bunduki.
 
Back
Top Bottom