Kinachosababisha Ongezeko la Gharama za Internet

Kinachosababisha Ongezeko la Gharama za Internet

Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumegongwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Mno Ndugu Zangu

Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa
Majizi Yapo Hata Kwenye Internet Ndugu Zangu
 
jazia nyama hapa.. mi najua inaongezeka kasi tu

mfano ku download video ya 200mb.. ita ku cost hiyo hiyo regardless unatumia 2G au 5G

mi kwa maoni yangu naona Bundle zina panda kwa sababu wanajua mama hana cha kuwafanya..
na watapandisha zaidi na zaidi
assume kwa siku unaperuzi jf kwa lisaa limoja, ukiwa na 2g sababu net ipo slow unafungua page 50 kwa saa, ila ukiwa na 4g sababu net ipo faster unafungua page 100 hivyo unakuwa unatumia mb nyingi net ikiwa faster,

mfano mwengine unaangalia hio video, quality ya video unapewa kutokana na speed yako, ukiwa na 2g utaletewa quality ndogo 144p ama 240p ila ukiwa na 4g unaletewa hd mpaka 4k, unless umeset manual quality gani unataka data zitaenda nyingi ukiwa na speed kubwa
 
Wiki mbili zilizopita tigo waliniuzia 1GB moja kwa 1000 nitumie siku 3 ,leo 0.5Gb for 1000/- with 3 day lifetime
Hapo hayo makorokoro yako yanahusiana nini
Tufanye wewe matumizi yako wewe ni GB 1 kwa siku kwenye simu yenye uwezo wa 3G na ambayo si ya kisasa. Miaka mitano baadae zimekuja simu mpya za kisasa na application zenye uwezo wa juu zaidi ambao unafanya kutumia data kwa wingi zaidi.

So matumizi yako yatapanda kulingana na aina ya apps umeweka mfano umeweka apps zinazotafuna gb 4 kwa siku.

Usipokuwa makini utasema mtandao wanakuibia bundle sababu inaisha kumbe ni simu mpya zinaongeza uwezo wa kuperform faster na kutumia data zaidi.

So hapo kuna effect mbili. Kiwango cha data kitaongezeka na gharama zitaongezeka za manunuzi ya bundle ila sio wewe kuwa unaibiwa.

Bado haujaelewa nini hapo?!
 
Ko hizo ndo sababu za voda kunipunguzia mb kutoka 1024 hadi 550mb kwa buku ile ile?? Mkuu hauko serious.
Bei ya vifurushi kupanda ovyo ni tamaa tu ya wenye mitandao na udhaifu wa viongozi wetu.
Nikuulize, wewe simu yako kwa wastani unatumia GB ngapi kwa siku?!
 
Nadhani hamjachunguza muone.... Me nimesha andika nyuzi zaidi ya tatu hapa kulaumu kuhusu bundle hadi nimejiona kichaa.
Jaribu kuangalia na upande wa pili pia! Bundle wamepunguza 3gb kwa 3000 hadi 1.5 GB kwa 3,000 halafu nisingizie simu?
 
assume kwa siku unaperuzi jf kwa lisaa limoja, ukiwa na 2g sababu net ipo slow unafungua page 50 kwa saa, ila ukiwa na 4g sababu net ipo faster unafungua page 100 hivyo unakuwa unatumia mb nyingi net ikiwa faster,

mfano mwengine unaangalia hio video, quality ya video unapewa kutokana na speed yako, ukiwa na 2g utaletewa quality ndogo 144p ama 240p ila ukiwa na 4g unaletewa hd mpaka 4k, unless umeset manual quality gani unataka data zitaenda nyingi ukiwa na speed kubwa
Dah mkuu umenielewa vema sana. Ila nimegundua wabongo wengi uelewa wao upo chini sana sijui shida ni nini?!

Yaani mtu anasoma kitu umeandika kipo wazi na mifano kede wa kede kumwambia kitu yeye anabakia kukuponda kwasababu umegusa hisia zake kwa topic ambayo unajaribu kufafanua kuna changamoto gani.


Me nadhani kuna haja ya kuweka soma la logic sekondari na vyuo vikuu ili watu waweze kuwa reasoning power nzuri.
 
Habarini.
kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza mwenendo wa mabadiliko ya gharama za vifurushi. Kwa maana ya internet bundles.

Nimekuja kugundua kuwa bundle haziliki kwasababu hii mitandao wanatuibia, bali zinaisha kwasababu ya mabadiliko ya teknolojia ya utengenezaji wa simu hizi janja yaani Smartphones.

Kwa wastani, simu ya zamani kwa GB 1 ulikuwa unaweza toboa nayo hata wiki mbili smartphone za kisasa kutoboa 1GB siku nzima ni mtihani. Sasa katika upembuzi nimegundua yafuatayo.

1. Mitandao ya kijamii yenye addiction ya hali ya juu imezidi kuongezeka. Kuna Instagram, TikTok, Facebook, Twitter, Clubhouse, telegram, WhatsApp, YouTube, etc . Hii ni michache ila kuna zaidi.

Mitandao hii inafanya kuongezeka kwa matumizi ya data mara dufu na hii hutokana na upgrades za hizo apps kupitia updates za mara kwa mara ambazo huleta features za kisasa zinazohitaji data zaidi.

2. Apps nyingi huwa zinafanya data collection. YES , majority ya hizi apps ni spy bugs zinazoturekodi na kukusanya mafile ya taarifa na kutuma katika servers huko kwa wenyew. Hili swala kwa nchi zetu za dunia ya tatu sio issue sana sababu less of us pay attention to that ila majority don't sababu wana uelewa mdogo sana kuhusu madhara yake na hivyo haiwatishi.

Hii mada ilishakuwa gumzo sana South Africa hapo baada ya watumiaji wa Sim aina ya Tecno, Infinix, itel kureport juu ya hilo swala. Ukusanyaji huu wa Data hupelekea gharama za ziada kwa watumiaji wakati zinatuma file kimya kimya.

3. Quality za video, audio na images zinabadilika kwa kuongezeka ubora ukilinganisha na za zamani. Imagine kuna sim inatoa video kwa quality kubwa sana kupitia camera zake. Ukitumiwa hizi files zinakuwa katika standard ya juu sana na kuzidownload inagharimu pia. Au ukienda YouTube utaona video nyingi zimewekwa quality ya juu ingawa unaweza adjust quality iwe simple.

Hii ina sababishwa na maboresho ya quality za camera,mic,speakers na Vioo vya simu kama ilivyo kwa devices nyingine kama camcorders,laptops, monitors screens, television sets, etc.

4. Apps nyingi za sasa ni background active yaani unapoiwasha simu wakati wenzako wana interact huko yenyewe inakukusanyia data ili unapoifungua upate history mkusanyiko wa taarifa za yaliyojiri ukiwa offline au mbali na simu. Hii inafanya consumption ya data kuwa unstoppable. Ni sawa na gari ambayo imepaki ila AC inawaka mafuta yataendelea kuchomeka tu.

5. Kubadilika kwa mawimbi na nguvu ya internet kutoka 3G kuja 4G na sasa 5G. Hii inamaanisha the more speed the more mafuta kusapoti kasi. Hivyo basi the more tunachange mawimbi haya ya mtandao the more consumption ya data inaongezeka na kula bundle nyingi.

Therefore, hadi hapo unaweza kuona kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea hivi sasa wakati sisi bado tukitumia bundle zile zile za tokea mwaka 2012. Hii ni kama kwenda dukani kununua mchele kilo 1 ila idadi ya wageni inaongezeka kila uchao, then tuanze kumlaumu muuza duka kuwa anatuibia mchele kwa kupunja na kupima kidogo badala ya sisi kujitathimini mabadiliko katika matumizi yetu.

Ukitazama sim tulizo nazo kwa sasa ni za kisasa sana na ni advanced.

Therefore, nadhani ni muda muafaka wa makampuni ya simu kuwekeza katika teknolojia ya tofauti kama fiber ambayo inasaidia sana upande wa gharama ili internet isiwe inauzwa kama Anasa wakati ni necessity kwa sasa.

Wadau pia ni vema tukaanza mijadala ya wazi ili tutazame namna ya kuiagiza serikali kupitia mamlaka yake itazame namna mpya ya kusaidia na sekta binafsi ili tuweze kubadili bundles za simu na kuziupgrade ziendane na nyakati na teknolojia.

Nilikuwa najiuliza why majuu ni mwendo wa wi-fi na unlimited packages 24/7 now naelewa kuwa ni kwasababu wanafanya urahisi kwa raia wao kupata access nzuri ya internet kuweza kutumia bila shida.

Kwa sasa kwenye simu ya wastani hizi za android kuanzia 8 kwenda juu unahitajika kuwa na wastani wa not less than 5 Gb kwa siku ili uweze kubrowse kwa kujiachia yaani apps zote utumie kwa raha zako. So 5GB mara siku 30 ni sawa na total ya 150Gb kwa mwezi. Hebu jaribu kutafuta hizo Gb kwa bundle za sasa utalipia bei gani. Halafu kwa bei hiyo tazama gharama za WiFi internet unlimited bundles ni bei gani kisha tujadili nini kifanyike na kushare mawazo.

Mimi nimezima background data ili kupunguza ulaji wa mb's ,maana Hadi nimewapigia halotel Leo si kwa spidi hii .

Swali langu baada ya kuzima hio background data Kuna athari yeyote itaikuta simu yangu?
 
Haya makampuni yanaongeza gharama ili walipe kodi, serikali inabana sana kwenye kodi mwisho wa sku wanao umia ni ss watumiaji wa mwisho
 
Exactly , kapuyanga
Haujaelewa. Kubali umefeli kuelewa. Ngoja nikupe mfano, ukielewa logic iliyopo ndani yake utaweza kureason vema.

Mfano wewe umeajiriwa na kampuni X, wamekwambia moja ya benefits za ajira yako ni watakulipia gharama za usafiri kwa kukulipia gharama za mafuta ila sio kwa kukupa pesa mkononi bali kwa kulipa Straight kwenye hiyo kampuni ya mafuta (petrol station )
Wewe unatumia IST, ambayo tank yake full ni lita 45 za ujazo. Na hayo mafuta kwa matumizi yako tufanye ni yanamaliza mwezi mzima hadi mshale kusoma empty na wewe kutakiwa kwenda tena sheri kujaza.

Sasa ulikuwa unatumia vema tu bila shida wala kufeel any pinch maana mafuta yanakutosha kwa mwezi hizo lita 45 zinatumika na hata mwezi muda mwingine unaisha ukiwa haujamaliza yote hayo mafuta.

Sasa maisha yanakukalia vema na unaamua kunanunua Gari mpya lets say Crown au Nissan Fuga. Jini makata . Mbali tu ya kuwa na consumption kubwa ila lina ujazo mkubwa zaidi wa 50, lita 5 zaidi ya IST yako ya zamani.

Je , ukienda sheli, utapata full tank kwa mujibu wa bili unayowekewa na ofisi yako?!

Pili, Je, uendeshaji wa IST ambayo ni 1200cc,namna itakula zile lita 45 za full tank utakuwa sawa na uendeshaji wa Crown Ambayo ni 2997 cc ambayo mbali na kuwa itakunywa zaidi mafuta , ila haitakuwa ikijaza full tank kama Ist yako ya awali?!

Je, tuassume hiyo kampuni yako inalipa bili yako ya mafuta sambamba na bei hizi za kilanguzi za serikali, bila kuathiriwa na mabadiliko ya bei za mafuta wao wanalipia zile lita 45 upate kila mwezi.

Je, utakuwa unamaintain uendeshaji ule ule kama wa IST au utasema hao sheli unapoweka mafuta wanakuibia mafuta wanapoweka?!


Kama uwezo wako wa logic upo vema ukiweza kuconnect logic hapo na ya topic then jua wewe upo na reasoning capacity ya IQ kubwa na wakiitwa watu wenye uwezo wa kiakili na wewe toka mbele bila kuangalia nyuma.
 
Habarini.
kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza mwenendo wa mabadiliko ya gharama za vifurushi. Kwa maana ya internet bundles.

Nimekuja kugundua kuwa bundle haziliki kwasababu hii mitandao wanatuibia, bali zinaisha kwasababu ya mabadiliko ya teknolojia ya utengenezaji wa simu hizi janja yaani Smartphones.

Kwa wastani, simu ya zamani kwa GB 1 ulikuwa unaweza toboa nayo hata wiki mbili smartphone za kisasa kutoboa 1GB siku nzima ni mtihani. Sasa katika upembuzi nimegundua yafuatayo.

1. Mitandao ya kijamii yenye addiction ya hali ya juu imezidi kuongezeka. Kuna Instagram, TikTok, Facebook, Twitter, Clubhouse, telegram, WhatsApp, YouTube, etc . Hii ni michache ila kuna zaidi.

Mitandao hii inafanya kuongezeka kwa matumizi ya data mara dufu na hii hutokana na upgrades za hizo apps kupitia updates za mara kwa mara ambazo huleta features za kisasa zinazohitaji data zaidi.

2. Apps nyingi huwa zinafanya data collection. YES , majority ya hizi apps ni spy bugs zinazoturekodi na kukusanya mafile ya taarifa na kutuma katika servers huko kwa wenyew. Hili swala kwa nchi zetu za dunia ya tatu sio issue sana sababu less of us pay attention to that ila majority don't sababu wana uelewa mdogo sana kuhusu madhara yake na hivyo haiwatishi.

Hii mada ilishakuwa gumzo sana South Africa hapo baada ya watumiaji wa Sim aina ya Tecno, Infinix, itel kureport juu ya hilo swala. Ukusanyaji huu wa Data hupelekea gharama za ziada kwa watumiaji wakati zinatuma file kimya kimya.

3. Quality za video, audio na images zinabadilika kwa kuongezeka ubora ukilinganisha na za zamani. Imagine kuna sim inatoa video kwa quality kubwa sana kupitia camera zake. Ukitumiwa hizi files zinakuwa katika standard ya juu sana na kuzidownload inagharimu pia. Au ukienda YouTube utaona video nyingi zimewekwa quality ya juu ingawa unaweza adjust quality iwe simple.

Hii ina sababishwa na maboresho ya quality za camera,mic,speakers na Vioo vya simu kama ilivyo kwa devices nyingine kama camcorders,laptops, monitors screens, television sets, etc.

4. Apps nyingi za sasa ni background active yaani unapoiwasha simu wakati wenzako wana interact huko yenyewe inakukusanyia data ili unapoifungua upate history mkusanyiko wa taarifa za yaliyojiri ukiwa offline au mbali na simu. Hii inafanya consumption ya data kuwa unstoppable. Ni sawa na gari ambayo imepaki ila AC inawaka mafuta yataendelea kuchomeka tu.

5. Kubadilika kwa mawimbi na nguvu ya internet kutoka 3G kuja 4G na sasa 5G. Hii inamaanisha the more speed the more mafuta kusapoti kasi. Hivyo basi the more tunachange mawimbi haya ya mtandao the more consumption ya data inaongezeka na kula bundle nyingi.

Therefore, hadi hapo unaweza kuona kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea hivi sasa wakati sisi bado tukitumia bundle zile zile za tokea mwaka 2012. Hii ni kama kwenda dukani kununua mchele kilo 1 ila idadi ya wageni inaongezeka kila uchao, then tuanze kumlaumu muuza duka kuwa anatuibia mchele kwa kupunja na kupima kidogo badala ya sisi kujitathimini mabadiliko katika matumizi yetu.

Ukitazama sim tulizo nazo kwa sasa ni za kisasa sana na ni advanced.

Therefore, nadhani ni muda muafaka wa makampuni ya simu kuwekeza katika teknolojia ya tofauti kama fiber ambayo inasaidia sana upande wa gharama ili internet isiwe inauzwa kama Anasa wakati ni necessity kwa sasa.

Wadau pia ni vema tukaanza mijadala ya wazi ili tutazame namna ya kuiagiza serikali kupitia mamlaka yake itazame namna mpya ya kusaidia na sekta binafsi ili tuweze kubadili bundles za simu na kuziupgrade ziendane na nyakati na teknolojia.

Nilikuwa najiuliza why majuu ni mwendo wa wi-fi na unlimited packages 24/7 now naelewa kuwa ni kwasababu wanafanya urahisi kwa raia wao kupata access nzuri ya internet kuweza kutumia bila shida.

Kwa sasa kwenye simu ya wastani hizi za android kuanzia 8 kwenda juu unahitajika kuwa na wastani wa not less than 5 Gb kwa siku ili uweze kubrowse kwa kujiachia yaani apps zote utumie kwa raha zako. So 5GB mara siku 30 ni sawa na total ya 150Gb kwa mwezi. Hebu jaribu kutafuta hizo Gb kwa bundle za sasa utalipia bei gani. Halafu kwa bei hiyo tazama gharama za WiFi internet unlimited bundles ni bei gani kisha tujadili nini kifanyike na kushare mawazo.
Wezi tu hawa
 
Me miandiko mirefu hivyo sijuagi uvumilivu kabisa fanta summary nisome mie
 
Binafsi kuhusu swala la Bundle kwenda/kuisha haraka ni swala la Mtumiaji binafsi..

Mie natumia mb300 per week.. yes ukibisha ni ww and nawez kutumia Gb 20 per day... (Nikiamua)..

Sas ni hivi.. uliyoyataja hapo huwenda yakawa sahihi kwa upande mmoja (Haswa kwa wenye uelewa mdg wa maswala ya Tehama)

Niishie hapa maana ni mambo mengi sana natak kuyaandika kwa wakati mmoja, haitasaidia.
 
Jaribu kuangalia na upande wa pili pia! Bundle wamepunguza 3gb kwa 3000 hadi 1.5 GB kwa 3,000 halafu nisingizie simu?
Hiyo ni issue nyingine kabisa kinyume na hoja kuu katika huu uzi. Mimi nimelenga kuongelea namna simu kama kifaa zinachangia kubunya data.

Swala la serikali kuongeza tozo, swala la bundles kubalishwa bei mara kwa mara hilo pia lina mchango ila halikuwa katika mjadala hapo juu kama umenisoma vema.

Mimi nakwambia hivyo kwasababu kuna watu wanapewa allowance ya data na mawasiliano na ofisi zao. Na haya mabadiliko ya bundle huwa wanayaaddress kwa kuongeza kiasi cha pesa (interms of vocha wanapewa) kulingana na bei za soko ili isiathiri kiwango cha data wanachoweka.

Sasa unakuta mtu anatakiwa kutoweka chini ya GB 5 ili aweze fanya kazi zake. So kama simu yake ya awali ilikuwa ni ya 3g akinunua mpya ya 5G , RAM 12gb, ROM 500GB, sijui nini nini huko mbeleni, simu ya performance ya juu then jua Utafunaji wa data utaongezeka mara dufu ukilinganisha na simu ya kwanza na hii itaathiri kiwango cha data kinavyodumu katika simu hii.
 
Mimi nimezima background data ili kupunguza ulaji wa mb's ,maana Hadi nimewapigia halotel Leo si kwa spidi hii .

Swali langu baada ya kuzima hio background data Kuna athari yeyote itaikuta simu yangu?
Kiwango cha dawa kinachotumika ni sambamba na idadi ya apps ambazo zinachota data kwenye bundle yako.

Sasa shida apps zipo zinazokuja na simu ambazo kuzi uninstall ni mtihani maana hauwezi ziona. Na kuna hizi ambazo zinaonekana tunazo install wenyewe.

So nadhani ni swala la kubalance bundle na sio kulimit apps..... Ingawa ukilimit apps unaweza punguza matumizi ya bundle ila itaaffect matumizi yako pia baadhi ya operation za simu
 
Habarini.
kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza mwenendo wa mabadiliko ya gharama za vifurushi. Kwa maana ya internet bundles.

Nimekuja kugundua kuwa bundle haziliki kwasababu hii mitandao wanatuibia, bali zinaisha kwasababu ya mabadiliko ya teknolojia ya utengenezaji wa simu hizi janja yaani Smartphones.

Kwa wastani, simu ya zamani kwa GB 1 ulikuwa unaweza toboa nayo hata wiki mbili smartphone za kisasa kutoboa 1GB siku nzima ni mtihani. Sasa katika upembuzi nimegundua yafuatayo.

1. Mitandao ya kijamii yenye addiction ya hali ya juu imezidi kuongezeka. Kuna Instagram, TikTok, Facebook, Twitter, Clubhouse, telegram, WhatsApp, YouTube, etc . Hii ni michache ila kuna zaidi.

Mitandao hii inafanya kuongezeka kwa matumizi ya data mara dufu na hii hutokana na upgrades za hizo apps kupitia updates za mara kwa mara ambazo huleta features za kisasa zinazohitaji data zaidi.

2. Apps nyingi huwa zinafanya data collection. YES , majority ya hizi apps ni spy bugs zinazoturekodi na kukusanya mafile ya taarifa na kutuma katika servers huko kwa wenyew. Hili swala kwa nchi zetu za dunia ya tatu sio issue sana sababu less of us pay attention to that ila majority don't sababu wana uelewa mdogo sana kuhusu madhara yake na hivyo haiwatishi.

Hii mada ilishakuwa gumzo sana South Africa hapo baada ya watumiaji wa Sim aina ya Tecno, Infinix, itel kureport juu ya hilo swala. Ukusanyaji huu wa Data hupelekea gharama za ziada kwa watumiaji wakati zinatuma file kimya kimya.

3. Quality za video, audio na images zinabadilika kwa kuongezeka ubora ukilinganisha na za zamani. Imagine kuna sim inatoa video kwa quality kubwa sana kupitia camera zake. Ukitumiwa hizi files zinakuwa katika standard ya juu sana na kuzidownload inagharimu pia. Au ukienda YouTube utaona video nyingi zimewekwa quality ya juu ingawa unaweza adjust quality iwe simple.

Hii ina sababishwa na maboresho ya quality za camera,mic,speakers na Vioo vya simu kama ilivyo kwa devices nyingine kama camcorders,laptops, monitors screens, television sets, etc.

4. Apps nyingi za sasa ni background active yaani unapoiwasha simu wakati wenzako wana interact huko yenyewe inakukusanyia data ili unapoifungua upate history mkusanyiko wa taarifa za yaliyojiri ukiwa offline au mbali na simu. Hii inafanya consumption ya data kuwa unstoppable. Ni sawa na gari ambayo imepaki ila AC inawaka mafuta yataendelea kuchomeka tu.

5. Kubadilika kwa mawimbi na nguvu ya internet kutoka 3G kuja 4G na sasa 5G. Hii inamaanisha the more speed the more mafuta kusapoti kasi. Hivyo basi the more tunachange mawimbi haya ya mtandao the more consumption ya data inaongezeka na kula bundle nyingi.

Therefore, hadi hapo unaweza kuona kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea hivi sasa wakati sisi bado tukitumia bundle zile zile za tokea mwaka 2012. Hii ni kama kwenda dukani kununua mchele kilo 1 ila idadi ya wageni inaongezeka kila uchao, then tuanze kumlaumu muuza duka kuwa anatuibia mchele kwa kupunja na kupima kidogo badala ya sisi kujitathimini mabadiliko katika matumizi yetu.

Ukitazama sim tulizo nazo kwa sasa ni za kisasa sana na ni advanced.

Therefore, nadhani ni muda muafaka wa makampuni ya simu kuwekeza katika teknolojia ya tofauti kama fiber ambayo inasaidia sana upande wa gharama ili internet isiwe inauzwa kama Anasa wakati ni necessity kwa sasa.

Wadau pia ni vema tukaanza mijadala ya wazi ili tutazame namna ya kuiagiza serikali kupitia mamlaka yake itazame namna mpya ya kusaidia na sekta binafsi ili tuweze kubadili bundles za simu na kuziupgrade ziendane na nyakati na teknolojia.

Nilikuwa najiuliza why majuu ni mwendo wa wi-fi na unlimited packages 24/7 now naelewa kuwa ni kwasababu wanafanya urahisi kwa raia wao kupata access nzuri ya internet kuweza kutumia bila shida.

Kwa sasa kwenye simu ya wastani hizi za android kuanzia 8 kwenda juu unahitajika kuwa na wastani wa not less than 5 Gb kwa siku ili uweze kubrowse kwa kujiachia yaani apps zote utumie kwa raha zako. So 5GB mara siku 30 ni sawa na total ya 150Gb kwa mwezi. Hebu jaribu kutafuta hizo Gb kwa bundle za sasa utalipia bei gani. Halafu kwa bei hiyo tazama gharama za WiFi internet unlimited bundles ni bei gani kisha tujadili nini kifanyike na kushare mawazo.
😍
 
Hiyo ni issue nyingine kabisa kinyume na hoja kuu katika huu uzi. Mimi nimelenga kuongelea namna simu kama kifaa zinachangia kubunya data.

Swala la serikali kuongeza tozo, swala la bundles kubalishwa bei mara kwa mara hilo pia lina mchango ila halikuwa katika mjadala hapo juu kama umenisoma vema.

Mimi nakwambia hivyo kwasababu kuna watu wanapewa allowance ya data na mawasiliano na ofisi zao. Na haya mabadiliko ya bundle huwa wanayaaddress kwa kuongeza kiasi cha pesa (interms of vocha wanapewa) kulingana na bei za soko ili isiathiri kiwango cha data wanachoweka.

Sasa unakuta mtu anatakiwa kutoweka chini ya GB 5 ili aweze fanya kazi zake. So kama simu yake ya awali ilikuwa ni ya 3g akinunua mpya ya 5G , RAM 12gb, ROM 500GB, sijui nini nini huko mbeleni, simu ya performance ya juu then jua Utafunaji wa data utaongezeka mara dufu ukilinganisha na simu ya kwanza na hii itaathiri kiwango cha data kinavyodumu katika simu hii.
RAM .. ROM.. havihusiani na ulaji wa data kuwa mkubwa hata siku moja.. wala hiyo network Generation haihusiani na ulaji kuwa mkubwa kwa namna moja ama nyingine..

Zungumzia swala la OS yaan software husika ya simu/computer husika.. na settings zilizowekwa.. mfn win 7 na win 10 ktk same pc specs aliyeweka win 10 atatumia bandwidth kubwa kuliko aliyeweka win7 kutokana na software resources zinazorun nyuma ya pazia na updates za mara kwa mara..

Hiy hiyo win 10 ukiifanyia settings itatumia bandwidth kiduchu compared to win7 ambayo haijaguswa ktk upande wa settings (cfg)..

Same applied ktk hizi sim janja .. Ios na Android zinatofautiana.. pia hiyo hiyo android ina version nyingi (kernels mbali mbali)

Itoshe kusema kwamba ulaji wa bandwidth unategemea kias kikubwa na OS pmj na Cfg na sio network settings or RAM or ROM.
 
Upo sawa,the more the smart phones designs advance,the more increase in data usage, yaani tulipokuwa tunatumia simu za 2g tulikuwa tunasoma zaidi maandishi video hazikuwa kwa sana,3g ilituongeza uwezo wa kuangalia video na kudownload mafile makubwa,4g ndo kabisaa imekuja na spidi ya ajabu kwa mda mfupi unaangalia video nyingi na kudownload vitu vya kutosha.
 
Back
Top Bottom