Kinachofanyika ni danganya toto

Joshua justine

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
793
1,007
Sio kweli kwamba spika aliropoka kwa namna ile , mtu kama spika , anaecheza na sheria siku zote, anaecheza na hoja siku zote, sio mtu wa kumdhania kuongea hovyo bila kujua anafanya nn na madhara yake yatakuwa nn.

UKWELI
Tangu aondoke mwendazake Serikali na CCM kote kulipasuka, moto ulikuwa unawaka ndani kwa ndani bila ss wananchi kujua kinachoendelea humo.

Kilichowakera zaidi kina ndugai na wenzake kina Kassim ni ujio wa Mzee wa Mizoga kuwaongoza tena kwa remote control yake. Kulianza kufanyika reshuffling ya sera za nje, diplomasia, maswala ya corona, kauli dhidi ya ukusanyaki wa kodi n.k kwa ufupi mama ni kama alifanya kwa fujo mabadiriko mengi sana huku akiongozwa na mzee wa mizoga na mabeberu jambo ambalo wanaume wa mwendazake walifikia hatua ikawashinda kuelewana na hayo , walikuwa wanaongea ndani kwa ndani , kwa ufupi hili sio jipya , ni jipya kwetu wananchi tu.

Ilipofikia hatua sasa kuwa kwa kweli haiwezekani kufanya kazi tena pamoja, wakawa wamekubaliana ndani kwao huko kwamba sasa haiwezekani, na wakakubaliana hivyo.

Kutoka nje sasa kwa wananchi huwezi kuwaambia ukweli wote huo maana tayari huyo mama yenu hakuna atakayemuelewa , wote tutaside na wakina ndugai, so ikatengenezwa stage ya kuchezea hiyo drama ili lionekane kama ni tukio moja tu lililosababisha yote hayo, lakini sio kweli, hiyo ni danganya toto.

Angalia kila mtu anavyoshangaa inakuwaje spika aropoke vile, sasa kama watu wasiojua lolote hawawezi kufanya blunder kama hiyo , je spika mwenyewe?

Mziki mzima umeandaliwa ili kuwaondoa wote wanaompinga mama yenu serikalini huko ndani kwa ndani wanakopingana wao kwa wao wakikaa kama cabinets, ndio mama yenu sasa anaitumia hiyo kuunda baraza lake jipya, wakina katelephone wote hawaelewi uendeshani wa serikali wa mama yenu, na imefikia hatua hawawezi kwenda pamoja tena.

WANANCHI BILA KATIBA
Bila katiba wananchi tunadharauliwa na kutupwa huku na huku kwa drama za kisiasa za wanasiasa, uongo mwingi na sisi tunashangilia na kushabikia uongo mtupu, ukweli unabaki nyuma ya pazia.

Ili kuondoa aibu hii ya kudanganywa danganywa kama watoto , wananchi tuwe watu wazima sasa, tuamue kupata katiba iliyoboreshwa kwa kuondolewa mapungufu yote yanayoleta upuuzi kama huu. Katiba mpya ndio utu uzima wa taifa hili, huu ni utoto.

NB: Hii video nimeikuta baada ya mimi kupost



NIMEWEKA VIDEO HAPA , WACHAMBUZI WA SIASA ZA TANZANIA WAKUBWA WAKIONGEA KAMA HIKI NILICHOSEMA MM HAPA, NAONA MODES NAO WAMEANZA KUINGILIA BUNGE HUMU.
 
Naam, kwa paleeeee

IMG-20220107-WA0002.jpg


IMG-20220107-WA0001.jpg
 
umetumia hili jukwaa kutaka kuinadi sera yenu ya kudai katiba mpya
 
Ndugai aliongea ukweli, ila hakutakiwa kuongea hadharani.

JPM alichukua mkopo wastani wa TSH 5.8 trilioni kwa mwaka.
Ambayo ni sawa na TSH 29 trilioni kwa miaka 5.

Ila mama kwa 9 months tayari ana mkopo wa TSH 13.82 Trilioni ambayo kwa miaka 4 itakuwa Trilioni 55.28 (kama kasi ya ukopaji haitashuka).

Ndugai ilibidi amfuate mama waongee faragha, sasa yeye akaenda hadharani.

Ila sisi hatujui, inawezekana Ndugai hakusikilizwa kabla ndio maana akaamua kujilipua.

SIASA SIASA SIASA SIASA SIASA SIASA
 
Huna heshima kwa serikali ya awamu ya nne iliyoikabidhi awamu ya tano madaraka na kuipigia kampeni unampa kiongozi wake majina yasiyo na staha halafu unategemea wengine waheshimu hoja yako.
 
Wewe mpuuzi wa chato kafagie kabuli huko chato

Unafikiri hamjulikani kuwa hamkutaka Mama awe Raisi?

Endeleeni tu kutunga upuuzi wenu Mtaisha mmoja mmoja!
 
Sio kweli kwamba spika aliropoka kwa namna ile , mtu kama spika , anaecheza na sheria siku zote, anaecheza na hoja siku zote, sio mtu wa kumdhania kuongea hovyo bila kujua anafanya nn na madhara yake yatakuwa nn.

UKWELI
Tangu aondoke mwendazake Serikali na CCM kote kulipasuka, moto ulikuwa unawaka ndani kwa ndani bila ss wananchi kujua kinachoendelea humo.

Kilichowakera zaidi kina ndugai na wenzake kina Kassim ni ujio wa Mzee wa Mizoga kuwaongoza tena kwa remote control yake. Kulianza kufanyika reshuffling ya sera za nje, diplomasia, maswala ya corona, kauli dhidi ya ukusanyaki wa kodi n.k kwa ufupi mama ni kama alifanya kwa fujo mabadiriko mengi sana huku akiongozwa na mzee wa mizoga na mabeberu jambo ambalo wanaume wa mwendazake walifikia hatua ikawashinda kuelewana na hayo , walikuwa wanaongea ndani kwa ndani , kwa ufupi hili sio jipya , ni jipya kwetu wananchi tu.

Ilipofikia hatua sasa kuwa kwa kweli haiwezekani kufanya kazi tena pamoja, wakawa wamekubaliana ndani kwao huko kwamba sasa haiwezekani, na wakakubaliana hivyo.

Kutoka nje sasa kwa wananchi huwezi kuwaambia ukweli wote huo maana tayari huyo mama yenu hakuna atakayemuelewa , wote tutaside na wakina ndugai, so ikatengenezwa stage ya kuchezea hiyo drama ili lionekane kama ni tukio moja tu lililosababisha yote hayo, lakini sio kweli, hiyo ni danganya toto.

Angalia kila mtu anavyoshangaa inakuwaje spika aropoke vile, sasa kama watu wasiojua lolote hawawezi kufanya blunder kama hiyo , je spika mwenyewe ?!!!?
Mziki mzima umeandaliwa ili kuwaondoa wote wanaompinga mama yenu serikalini huko ndani kwa ndani wanakopingana wao kwa wao wakikaa kama cabinets, ndio mama yenu sasa anaitumia hiyo kuunda baraza lake jipya, wakina katelephone wote hawaelewi uendeshani wa serikali wa mama yenu, na imefikia hatua hawawezi kwenda pamoja tena.

WANANCHI BILA KATIBA
Bila katiba wananchi tunadharauliwa na kutupwa huku na huku kwa drama za kisiasa za wanasiasa, uongo mwingi na sisi tunashangilia na kushabikia uongo mtupu, ukweli unabaki nyuma ya pazia.

Ili kuondoa aibu hii ya kudanganywa danganywa kama watoto , wananchi tuwe watu wazima sasa, tuamue kupata katiba iliyoboreshwa kwa kuondolewa mapungufu yote yanayoleta upuuzi kama huu. Katiba mpya ndio utu uzima wa taifa hili, huu ni utoto.

NB: Hii video nimeikuta baada ya mimi kupost
Wewe Ni kichaa
 
Ile hoja ya mikopo kama spika angeendesha kapeni ya kuipika akiwa bungeni bado angeonekana mbaya tu.kwa hiyo katiba mpya ni mhimu sana aisee.sikujua kabisa
 
Sio kweli kwamba spika aliropoka kwa namna ile , mtu kama spika , anaecheza na sheria siku zote, anaecheza na hoja siku zote, sio mtu wa kumdhania kuongea hovyo bila kujua anafanya nn na madhara yake yatakuwa nn.

UKWELI
Tangu aondoke mwendazake Serikali na CCM kote kulipasuka, moto ulikuwa unawaka ndani kwa ndani bila ss wananchi kujua kinachoendelea humo.

Kilichowakera zaidi kina ndugai na wenzake kina Kassim ni ujio wa Mzee wa Mizoga kuwaongoza tena kwa remote control yake. Kulianza kufanyika reshuffling ya sera za nje, diplomasia, maswala ya corona, kauli dhidi ya ukusanyaki wa kodi n.k kwa ufupi mama ni kama alifanya kwa fujo mabadiriko mengi sana huku akiongozwa na mzee wa mizoga na mabeberu jambo ambalo wanaume wa mwendazake walifikia hatua ikawashinda kuelewana na hayo , walikuwa wanaongea ndani kwa ndani , kwa ufupi hili sio jipya , ni jipya kwetu wananchi tu.

Ilipofikia hatua sasa kuwa kwa kweli haiwezekani kufanya kazi tena pamoja, wakawa wamekubaliana ndani kwao huko kwamba sasa haiwezekani, na wakakubaliana hivyo.

Kutoka nje sasa kwa wananchi huwezi kuwaambia ukweli wote huo maana tayari huyo mama yenu hakuna atakayemuelewa , wote tutaside na wakina ndugai, so ikatengenezwa stage ya kuchezea hiyo drama ili lionekane kama ni tukio moja tu lililosababisha yote hayo, lakini sio kweli, hiyo ni danganya toto.

Angalia kila mtu anavyoshangaa inakuwaje spika aropoke vile, sasa kama watu wasiojua lolote hawawezi kufanya blunder kama hiyo , je spika mwenyewe?

Mziki mzima umeandaliwa ili kuwaondoa wote wanaompinga mama yenu serikalini huko ndani kwa ndani wanakopingana wao kwa wao wakikaa kama cabinets, ndio mama yenu sasa anaitumia hiyo kuunda baraza lake jipya, wakina katelephone wote hawaelewi uendeshani wa serikali wa mama yenu, na imefikia hatua hawawezi kwenda pamoja tena.

WANANCHI BILA KATIBA
Bila katiba wananchi tunadharauliwa na kutupwa huku na huku kwa drama za kisiasa za wanasiasa, uongo mwingi na sisi tunashangilia na kushabikia uongo mtupu, ukweli unabaki nyuma ya pazia.

Ili kuondoa aibu hii ya kudanganywa danganywa kama watoto , wananchi tuwe watu wazima sasa, tuamue kupata katiba iliyoboreshwa kwa kuondolewa mapungufu yote yanayoleta upuuzi kama huu. Katiba mpya ndio utu uzima wa taifa hili, huu ni utoto.

NB: Hii video nimeikuta baada ya mimi kupost
Hujui kitu
Ni makinikika plus
TL kumiminiwa risasi kamera zikiwa zimezimwa kwenye makazi ya wabunge plus.............everything else!
Get a hint!
 
Back
Top Bottom