FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 459
- 860
Wasalaam ndg zangu
Chuo Cha TIA Kuna uozo unaendelea ambao sio mzuri
Kuna wanafunzi almost 20+ kesi zao zimetoka kusikilizwa siku so nyingi lakini there is something fishy maana kesi kama hizi TIA zimekithiri sana na NACTVET ipo kimya.
For instance kuna mwanafunzi amekuwa disqualified sababu ya kipande cha karatasi ambacho siku ya mtihani kilikutwa within her viscinity( karibu na alipo)
Don't get me wrong msomaji sio kwenye booklet yake au akiwa nacho, at her viscinity.
Cha kushangaza zaidi kilichoandikwa kwenye karatasi sicho kitu kilichokuwa kwenye mtihani siku hiyo and wanarely on hand writing kwa kuangalia kwa macho kuprove kuwa it belongs to her. No biometric system yoyote imetumika kuprove kuwa ni chake.
Just imagine hawa ndio wasomi tulionao.
Kwenye vikao viwili lecturers wamemuhukumu kwa kitu hajafanya even though ameomba ushahidi wa camera utumike sababu chumba alichokua anafanyia mtihani Kuna camera, they didn't listen her at all.
Mbaya zaidi kuna voice note za malecturers and some university student leaders admitting kuwa wanachomfanyia huyu mtoto wa kike sio sawa, kisa wachache washapiga pesa imekuwa ngumu kwa wao ku-undo their wrong decision.
Mimi ni Moja ya watu ambao nipo karibu sana hapa TIA na trend ya kesi kama hizi zimekithiri
My take principle wa TIA it's time you take this matter on hand na ufatilie kwa ukaribu jambo hili, unless umeapprove kinachoendelea .
Chuo Cha TIA Kuna uozo unaendelea ambao sio mzuri
Kuna wanafunzi almost 20+ kesi zao zimetoka kusikilizwa siku so nyingi lakini there is something fishy maana kesi kama hizi TIA zimekithiri sana na NACTVET ipo kimya.
For instance kuna mwanafunzi amekuwa disqualified sababu ya kipande cha karatasi ambacho siku ya mtihani kilikutwa within her viscinity( karibu na alipo)
Don't get me wrong msomaji sio kwenye booklet yake au akiwa nacho, at her viscinity.
Cha kushangaza zaidi kilichoandikwa kwenye karatasi sicho kitu kilichokuwa kwenye mtihani siku hiyo and wanarely on hand writing kwa kuangalia kwa macho kuprove kuwa it belongs to her. No biometric system yoyote imetumika kuprove kuwa ni chake.
Just imagine hawa ndio wasomi tulionao.
Kwenye vikao viwili lecturers wamemuhukumu kwa kitu hajafanya even though ameomba ushahidi wa camera utumike sababu chumba alichokua anafanyia mtihani Kuna camera, they didn't listen her at all.
Mbaya zaidi kuna voice note za malecturers and some university student leaders admitting kuwa wanachomfanyia huyu mtoto wa kike sio sawa, kisa wachache washapiga pesa imekuwa ngumu kwa wao ku-undo their wrong decision.
Mimi ni Moja ya watu ambao nipo karibu sana hapa TIA na trend ya kesi kama hizi zimekithiri
My take principle wa TIA it's time you take this matter on hand na ufatilie kwa ukaribu jambo hili, unless umeapprove kinachoendelea .