Tangu Putin atangaze Special Military operational yake Feb 2022 dhidi ya Ukraine, wengi waliamini kuwa huo ndo ulikuwa mwanzo wa vita kuu ya tatu (World War III) hasa Marekani na NATO walipoweka wazi kuwa wataisaidia silaha Ukraine ili iweze kujilinda dhidi ya mvamizi (Russia).
Marekani alipozishawishi nchi za EU kuisaidia Ukraine, fikra za WW3 ndo zilikolea kwa watu wengi (Pro-Russia na Pro-Ukraine).
Kinachoendelea sote tunaofuatilia vita hiyo tumekiona na tunajua, sina sababu ya kueleza.
Waliokuwa wakiamini kuwa hiyo vita ni mwanzo wa WW3 walikuwa na sababu muhimu zifuatazo;
1. Waliamini kuwa Russia ni super power na kwamba ina uwezo wa kupiga nchi zote ikiwemo marekani.
2. Waliamini vita ya Russia na Marekani itakuwa vita ngumu sana na wengine wakaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Marekani akiingilia ugomvi wa Russia na Ukraine ndo utakuwa mwanzo wa Marekani kupigwa na kusambaratishwa na super power aitwaye Russia.
3. Pro Russia na hata viongozi wa Russia waliamini kuwa Russia ina uwezo wa kumpiga Marekani kwa makombora yake anayoyaitwa Intercontinental Ballistic missiles, Hypersonic missiles na Nuclear missiles. Eti Kwamba Russia makombora yake ni hatari sana na ya technology ya hali ya juu sana.
4. Sababu nyingine ni kwamba waliamini kuwa Russia ana air defense systems hatari sana wakiwa wanarejea S-300 na S-400 series. Kwamba anga la Urusi linalindwa sana huwezi kupenya na kwamba marekani hana air defense systems kama za Russia.
Katika kutafakari na kufanya assessment kuhusu hali halisi ya kinachoendela katika vita ya Ukraine na Russia. Tunahitaji kujua kama kweli watu walichokuwa wanafikilia kimekuwa kweli au kimeenda kinyume chake kwa kujiuliza maswali yafuatayo.
1. Je, bado tunaamini kuwa vita ya Ukraine na Russia itazaa vita kuu ya tatu ya Dunia (World War III) ?
2. Ni kweli Russia ni supper power kama watu walivyoamini kabla ya vita kuanza ?
3. Ni kweli Russia ana uwezo wa Kuipiga Marekani na nchi zingine Duniani na pengine kuitawala Dunia.
4. Ni kweli Russia and air defense systems za hatari kuliko marekani na nchi yoyote duniani na kwamba anga lake liko salama hakuna kitu cha kupenya kwenye anga lake?
5. Ni kweli Russia ana silaha nzito za kutisha na zenye kutumia technology kubwa kuliko marekani na nchi zingine?
6. Ni kweli jeshi la Russia liko imara sana kama ambavyo tuliamini mwanzo na kwamba wana mafunzo imara ya kutumia silaha za kivita?
Tupate maoni na tafakari yenu bila matusi na ushabiki usio na hoja yenye mantiki. Tusitawaliwe na u pro-Russia au Ukraine tukajikuta tumetoka kwenye hoja.
Marekani alipozishawishi nchi za EU kuisaidia Ukraine, fikra za WW3 ndo zilikolea kwa watu wengi (Pro-Russia na Pro-Ukraine).
Kinachoendelea sote tunaofuatilia vita hiyo tumekiona na tunajua, sina sababu ya kueleza.
Waliokuwa wakiamini kuwa hiyo vita ni mwanzo wa WW3 walikuwa na sababu muhimu zifuatazo;
1. Waliamini kuwa Russia ni super power na kwamba ina uwezo wa kupiga nchi zote ikiwemo marekani.
2. Waliamini vita ya Russia na Marekani itakuwa vita ngumu sana na wengine wakaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Marekani akiingilia ugomvi wa Russia na Ukraine ndo utakuwa mwanzo wa Marekani kupigwa na kusambaratishwa na super power aitwaye Russia.
3. Pro Russia na hata viongozi wa Russia waliamini kuwa Russia ina uwezo wa kumpiga Marekani kwa makombora yake anayoyaitwa Intercontinental Ballistic missiles, Hypersonic missiles na Nuclear missiles. Eti Kwamba Russia makombora yake ni hatari sana na ya technology ya hali ya juu sana.
4. Sababu nyingine ni kwamba waliamini kuwa Russia ana air defense systems hatari sana wakiwa wanarejea S-300 na S-400 series. Kwamba anga la Urusi linalindwa sana huwezi kupenya na kwamba marekani hana air defense systems kama za Russia.
Katika kutafakari na kufanya assessment kuhusu hali halisi ya kinachoendela katika vita ya Ukraine na Russia. Tunahitaji kujua kama kweli watu walichokuwa wanafikilia kimekuwa kweli au kimeenda kinyume chake kwa kujiuliza maswali yafuatayo.
1. Je, bado tunaamini kuwa vita ya Ukraine na Russia itazaa vita kuu ya tatu ya Dunia (World War III) ?
2. Ni kweli Russia ni supper power kama watu walivyoamini kabla ya vita kuanza ?
3. Ni kweli Russia ana uwezo wa Kuipiga Marekani na nchi zingine Duniani na pengine kuitawala Dunia.
4. Ni kweli Russia and air defense systems za hatari kuliko marekani na nchi yoyote duniani na kwamba anga lake liko salama hakuna kitu cha kupenya kwenye anga lake?
5. Ni kweli Russia ana silaha nzito za kutisha na zenye kutumia technology kubwa kuliko marekani na nchi zingine?
6. Ni kweli jeshi la Russia liko imara sana kama ambavyo tuliamini mwanzo na kwamba wana mafunzo imara ya kutumia silaha za kivita?
Tupate maoni na tafakari yenu bila matusi na ushabiki usio na hoja yenye mantiki. Tusitawaliwe na u pro-Russia au Ukraine tukajikuta tumetoka kwenye hoja.