Kinachoendelea CHAN 2024 ichukuliwe miongoni mwa maajabu saba ya Duniani

Kinachoendelea CHAN 2024 ichukuliwe miongoni mwa maajabu saba ya Duniani

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,602
Reaction score
1,864
Nimejaribu kuwaza na kuwazua bado nimeshindwa kupata majibu kabisa,

Tuseme ndio mcheza kwao,
Au ni vile timu walizonazo vigogo ni wachezaji ambao hawawatumii mara kwa mara katika mashindano au ni soka la ukanda wetu linakuwa au nini hasa?

Maana imekuwa ni maajabu
Tanzania aongoze kundi lenye

Burknafaso na Mauritania

Kenya aongoze kundi lenye

Morocco, Dr Congo, Angola na Zambia

Uganda aongoze kundi lenye

Algeria, SA na Guinea

Sudani anaongoza kundi lenye
Senegal na Nigeria.

Hii haijawahi kutokea na haitakaa ijirudie katika dunia hii.
 

Attachments

  • 1755076019203.jpg
    1755076019203.jpg
    201 KB · Views: 18
  • 1755075993691.jpg
    1755075993691.jpg
    197.1 KB · Views: 19
  • 1755075948922.jpg
    1755075948922.jpg
    181.7 KB · Views: 22
  • 1755075970713.jpg
    1755075970713.jpg
    189.8 KB · Views: 17
Nimejaribu kuwaza na kuwazua bado nimeshindwa kupata majibu kabisa,

Tuseme ndio mcheza kwao,
Au ni vile timu walizonazo vigogo ni wachezaji ambao hawawatumii mara kwa mara katika mashindano au ni soka la ukanda wetu linakuwa au nini hasa?

Maana imekuwa ni maajabu
Tanzania aongoze kundi lenye

Burknafaso na Mauritania

Kenya aongoze kundi lenye

Morocco, Dr Congo, Angola na Zambia

Uganda aongoze kundi lenye

Algeria, SA na Guinea

Sudani anaongoza kundi lenye
Senegal na Nigeria.

Hii haijawahi kutokea na haitakaa ijirudie katika dunia hii.
Unaelewa maana ya CHAN??
 
Unaelewa maana ya CHAN??
Taifa kama Morocco na Algeria hata kama uchezeshewe na wachezaji wa under 20 watakusumbua. Sio tu wachezaji wa ndani.

Mzee mule kuna wachezaji kutoka WYDAD, FAR, FUS na Rs berekane. Sasa sijui unaposema naelewa maana ya CHAN ndio sikuelewi.
 
Tuambie Maoni Yako Wewe Ulitaka Nani Aongoze Ndio Uone MASHINDANO YA CHAN....CAF wako Sahihi...?
 
Tuambie Maoni Yako Wewe Ulitaka Nani Aongoze Ndio Uone MASHINDANO YA CHAN....CAF wako Sahihi...?
Silaumu mashindano, bali nipo kwenye mshangao wa yanayojili uwanjani. Naona ni kama misimamo ipo chini juu juu chini.
 
Silaumu mashindano, bali nipo kwenye mshangao wa yanayojili uwanjani. Naona ni kama misimamo ipo chini juu juu chini.
Sawa Hulaumu Mashindano...Tunaomba Maoni Yako Tena...Wewe Ulihitaji Msimamo Uweje??Ili Usiwe Na Mshangao kwa Yanayojiri Viwanjani..?
 
Unatazama mechi za Tanzania, Kenya na Uganda zinapokuwa zinacheza?

Nimejaribu kuwaza na kuwazua bado nimeshindwa kupata majibu kabisa,

Tuseme ndio mcheza kwao,
Au ni vile timu walizonazo vigogo ni wachezaji ambao hawawatumii mara kwa mara katika mashindano au ni soka la ukanda wetu linakuwa au nini hasa?

Maana imekuwa ni maajabu
Tanzania aongoze kundi lenye

Burknafaso na Mauritania

Kenya aongoze kundi lenye

Morocco, Dr Congo, Angola na Zambia

Uganda aongoze kundi lenye

Algeria, SA na Guinea

Sudani anaongoza kundi lenye
Senegal na Nigeria.

Hii haijawahi kutokea na haitakaa ijirudie katika dunia hii.
 
Mkuu hizo timu za Waarabu mara nyingi ushindi wao huwa unategemea jitihada za nje ya uwanja, yaani kwa kifupi uwanjani ni weupe kabisa.
Pia ubora wa timu zao hujengwa na wachezaji kutoka wachezaji wanaowanunua kutoka nje.
Kwasasa toka yafanyike mapinduzi ya soka na uwazi kuongezeka tutarajie kuporomoka kwa kiwango kikubwa kwa mataifa hayo
 
Mkuu hizo timu za Waarabu mara nyingi ushindi wao huwa unategemea jitihada za nje ya uwanja, yaani kwa kifupi uwanjani ni weupe kabisa.
Pia ubora wa timu zao hujengwa na wachezaji kutoka wachezaji wanaowanunua kutoka nje.
Kwasasa toka yafanyike mapinduzi ya soka na uwazi kuongezeka tutarajie kuporomoka kwa kiwango kikubwa kwa mataifa hayo
Weupe wakati huwa wanapata matokeo mpaka ugenini
 
Weupe wakati huwa wanapata matokeo mpaka ugenini
Soma kwa utulivu utaelewa. Kumbuka katika fainali kombe la shirikisho kati ya Yanga na USM ALger bila fitna za ball boys na kuwasha fataki hadi mchezo kushindwa kuendelea waarabu walikuwa wanakalishwa mapema tu.
Waarabu bila fitna, na wachezaji kutoka nje ya nchi yao wakiwa wenyewe ni watupu kabisa wanapigwa hata na Namungo
 
Ligi zetu ziko juu kuliko hao giants, hiv kweli Nigeria anakufa chuma 4 kwa Sudan loh!
Hao giants wanategemea mostly mamluki wao wanaocheza nje ya inchi zao
 
Ligi zetu ziko juu kuliko hao giants, hiv kweli Nigeria anakufa chuma 4 kwa Sudan loh!
Hao giants wanategemea mostly mamluki wao wanaocheza nje ya inchi zao
Naweza kuamini hili. Ila sasa mbona hii si CHAN ya kwanza. Kwanini tusiyaone hayo kwenye chan zilizopita
 
Back
Top Bottom