Ndo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality
Nyie mnaojitutumua sijui kuipuuza chato mnapoteza mda,Chato huko itakuwa makao makuu ya mkuu wa mkoa tarajari,watu wastaarabu kama watumishi ndio watajenga, ukitaka biashara ndo nenda huko kwingine sijui katoro sijui buselesele sijui na pumba gani.
we mnyoa denge na kiduku unaongea nini? nani kasema kata k hapa? jifunzeni kuoga na ustaarabu kwanza.Ukitaka kujua nachoongea angalia watu waliosoma na wasio soma..Kwahiyo kata kei na madela ndiyo mavazi ya mjini.?
Bure kabisa.
we mnyoa denge na kiduku unaongea nini? nani kasema kata k hapa? jifunzeni kuoga na ustaarabu kwanza.Ukitaka kujua nachoongea angalia watu waliosoma na wasio soma..
Sasa ww unaenda Mwanza Maeneo ya uchochoroni huko kwa msosibwa buku then una generalize, kuna maeneo msosi unapikwa buana acha mchezo.Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Katoro ndo babalao ukanda uleMungu wangu!!! Pamoja na airport ya kimataifa, bohari kubwa ya MSD, ofisi kubwa ya TRA, branch nzuri ya CRDB, kumbe afadhali hata Katoro?
Hahahaaa....jamaa kaenda kula uchochoroni au sio?Sasa ww unaenda Mwanza Maeneo ya uchochoroni huko kwa msosibwa buku then una generalize, kuna maeneo msosi unapikwa buana acha mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua na jirani Msukuma akipika kuku lazima anunue wawili anasema hataki watoto wagombanie mapaja
Ungekosa huu uzi na comment yako ya hivi,ningestafu jfNdo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality
Broo umekalia ukwaju asubuh hi duh unaropokwa tuNdo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality
Ushapata chimbo?
BadoUshapata chimbo?
Kwaiyo na waliosomea ufundi viatu wako maabara kutafuta chanjo??? Si kweli mkuuWenzetu wanafanya vaccine trials za COVID19 sisi tunawaza mchemsho wa samaki
Kwa sasa umechagua maeneo gani unapoona pana afadhali?Bado
PopulationKwanini iliwekwa hivi, kuna sababu za kiserikal au kiuchumi
Duh, hata mimi nilikuwa namtafuta uzi wowote wa kupondea mza hakosekani. 😂Ungekosa huu uzi na comment yako ya hivi,ningestafu jf
Acha uongo wewe kelele nyiiingi watu wa huku watu wa huku...!kama hujui machimbo tuulize wenyeji tukwambie maana mlioingia mjini kwa mbio za mwenge mna shida.huko pwani unakosifia kuna nini cha maana?Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.