Unajua cdm wanaona mbali sana..walivyoisusia tbc watu hawakuelewa ila sasa wanaelewa..kwanza ni dharau kubwa sana anaongea msomi prof wa sheria ww una kata unaweka taarabu..ni dharau na ujinga wa hali ya juu..
Acheni wafu wawazike wafu wenzao,Mitambo ya TBC1 huwa haikati wanapoongea akina MWIGULU,LUKUVI,PINDA,WASIRA,UMMY MWL na kwa sasa kina Prof SHIVJI n.k sababu wanajua hawa hawawezi kuacha kutetea ulaji.
Acheni wafu wawazike wafu wenzao,Mitambo ya TBC1 huwa haikati wanapoongea akina MWIGULU,LUKUVI,PINDA,WASIRA,UMMY MWL na kwa sasa kina Prof SHIVJI n.k sababu wanajua hawa hawawezi kuacha kutetea ulaji.