Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,561
- 45,882
Hawajali afya zao, hawapimi Wala nini tofauti na wazee wanatembea na vipimo vyao , apime pressure, acheki sukari iko level ngapi? Acheki hiv yaani wanajali sana afya zao.
Kina mama kuweni makini unatoboa 40 huna ngoma ashki za siku moja zinakuponza.
Mimi nitakula wahenga tu japo ananipa stress ila poa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina mama kuweni makini unatoboa 40 huna ngoma ashki za siku moja zinakuponza.
Mimi nitakula wahenga tu japo ananipa stress ila poa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app