Kina Kaka huwa mnajifikiriaje?

Kina Kaka huwa mnajifikiriaje?

Zuwenna

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
2,203
Reaction score
4,111
Asallam/aleykum kwa waislam na Bwana Yesu asifiwe.

Kaka zangu kwanza msinielewe vibaya lakini napenda kuwauliza mnajifikiriaje mnapotumia maneno ya kukera kwa kinadada ambao ni kama dadazenu au mama zenu nyumbani!

Unakuta binti anapita mnaanza HUYU NIMESHA MLA! HATA JAMAA AMESHA MGONGA! LIMEKAA POA KWAKUPIGA MITI! maneno ya ajabu ajabu tena kwa sauti, UMEMLA!! kawa samaki, jamani kiukweli mnatudharilisha kwani hakuna maneno mengine?

Mnajisikiaje katika nafsi zenu mtumiapo maneno hayo na mengine! Mnatudharau, mnatutukana, au mnatusifia?

Mwenyezi Mungu awe nanyi Zuwenna
 
Zuwenna kuna watu wastaarabu wanaojiheshimu na wanajistaha kwa watu wote na kuna wale 'washenzi' ambao kazi yao ni matusi na dharau kwa watu wote wapitao njiani , cha kusikitisha hiki kitu cha kawaida mijini na hii inaonsha msimamo wa jamii tunayo ishi ni jamii ilio oza.
Nadhani umewahi pia kuona mtu anajikwaa na kuanguka kwa bahati mbaya na watu wana mzomea badala ya kumpa msaada - ni jamii ilio na mapungufu makubwa ya kimaadili
 
Kosa ni la kwakouki deal na wasela wa vijiweni tegemea lugha hizo hizounge deal na wenye heshima zao usingetukanwa ukipita
Kaka kama umewai fanya ushenzi na vijana hao huna sababu ya kulalamika, kinacho kera hao watu humfaham hata mmoja tena ni atua kubwa na makazi yako, tunajua wapo wanaume hujisifia pasipo na sitatizo kwakuwa moyoni mwake anajua maybe ni salam tu, huyo unaweza jua ni tabia yake ya kujiproud lakini wale wanao tumia maneno makali huku hamjuani sivyema
 
we si unapita njia huwa unajuaje kama wana kuzungumzia wewe?na kama wanasema ukweli unaumia nini na uliwapa mbwidu majitu roporopo?wapotezee tu.
Siwote rahisi kutenda hayo, nimekerwa kwakuwa sijuani nao
 
Hilo nimoja ya uhalisia wa kushuka kwa maadili kwetu sisi vijana, wanawaza kila wamwonae mpuzi kama wao, mtu mwenye kujari muda na lipi anafanya hawezi roka maneno ya kijinga jinga kama hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom