kina dada hebu toeni kitchen party kwa hawa wenzenu............................!Wafanye nini kuzuia hii kitu...................... maana vinachemsha balaa..............................!msitumie maneno makali............................wafundisheni kistaarabu ndo wataelewa..................................!
Preta, Lizzy, kama hawawezi kutumia antiperspirant deo (zipo hata za tsh 10 000) basi wavae nguo ambazo hazioneshi hizo traces, kama huyo alievaa saa ya kiume. It's somewhat disgusting.
kina dada hebu toeni kitchen party kwa hawa wenzenu............................!Wafanye nini kuzuia hii kitu...................... maana vinachemsha balaa..............................!msitumie maneno makali............................wafundisheni kistaarabu ndo wataelewa..................................!
Preta, Lizzy, kama hawawezi kutumia antiperspirant deo (zipo hata za tsh 10 000) basi wavae nguo ambazo hazioneshi hizo traces, kama huyo alievaa saa ya kiume. It's somewhat disgusting.