Kina dada naomba mnijulishe

ukiona hivyo umemchosha, humsugui vilivyo halafu mwenyewe hapo unajiona unajishughulisha haaaaswa ili ushuke anafake!! loh kazi kelikweli
 
1. sababu nachoka tunataka uache we unaendelea tu, maybe nikija na wewe utakuja tu cease fire
2. sababu sitaki ujiskie vibaya. kila tukimaliza unaniuliza was it nice? nasema yes alafu unauliza: mbona hukuja? basi inabidi nijifanya "as if"
3. nilikuja kweli ila haifanani zile za uongo ukadhani hii ndio feki

those are the most common reasons
 
kuonyesha tu kipele kimekunika na muwasho umeisha ili hali ndo kwanza cha washa na mkunaji anakizunguka au kukiruka kabisa. Alafu akitoka hapo full kujishaua.
 
Inafikia kipindi mtu unaamua tu mambo yaishe coz unaweza kukuta mambo yanazidi au hutaki mwenzako anaendelea/analazimisha tu, lakini pia sometimes utakuta mambo hakuna kabisaa.....so mtu unakuwa fake kwa muda!
 
Kwanini mna fake orgasm?
Mkuu, the truth is kama mwanamke anakupenda kweli na anakuheshimu hawezi fake coz ni sawa na kukudanganya. na kama wewe unampenda kweli na unamjua vizuri utajua tu when she needs more of this or less of that...
ila consider pia niliyo sema pale mwanzo, maana kama hakuna mapenzi mnado kwa performances hizo ni sabu kadhaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom