Kina dada muwe makini na Foreigners


Shem naomba chenchi!!!
 


Wewe Ni Muongo!

 

Bahati mbaya kwangu alipiga wrong namba....hapa angenichuna ngozi tuuu....!
 
Reactions: ram

kuna kitu hujagundua hapa...jamaa alitaka kukutapeli hiyo laki 2 tu hiyo 2m ilikuwa ni mkakati tu...pole hata hivyo..
 
Nadhani huyu jamaa alikuwa mrefu wa kimo na kifua cha mazoezi fulani hivi,
Jamani hebu tulieni na wabongo hata kama ni wafupi au tafuteni mbegu za tukuyu na k'njaro hata wakisepa
utatumia maujanja ya kibongo kuwasaka.
 
Namkumbuka mdada mmoja ambaye alipata mchumba akataka amkopee hela.mtu mmoja akamuonya,akakataa kata kata,akakopa fedha akampa mchumba wake
huyo jamaa akasepa,sasa huyo mdada analipa deni ambalo fedha hajaitumia.
Dada zetu chonde chonde,ni kweli mapenzi ni magumu kuyaelezea lkn basi chukua muda mzoee mtu kabla ya kujiingiza kwenye madeni.
 

Kweli kabisa. Kuna love inayofanya mtu kuwa blind kabisa. Na kuonyesha kujali kunatufanya tuumie sometimes.
Zaidi ya yote West Africans ni hatari sana sijui wana mioyo gani!
 
Matapeli ni weng tu wabongo na wagen

Ivi inakuweje tugegedane afu hela zangu tna nikakope nikupe
Hii akili ya huyu Dada nadhan ndo mapenz nivuruge kumbe anajivuruga mwenyewe
Hapa ichanaungesema inakuwaje unigegede,ingekuwa poa
 
Namjua huyo mdada.
 
Hehehe hela yangu labda uile inform of kind MF. Kupitia Chakula lakini cash big no. Mie mwenyewe mpenda kula ya kupewa.
 
Yeleuwiiii yule kaka hatanisahau ati,..basi kuna kipindi nilipotezwa na mahabati Kama Ndege ya Malaysia. Bi mdo wacha nijikoki na mizawadi... Heeh hata muda haukusonga nikagundua jamaa garasa anatumia wanawake na ndio fahari kawake. dharau juu anaonesha. Kiliniuma si kwa kiwa jamaa ni garasa tu lakini ile mijizawadi yangu na gharama zote alafu nidharauliwe. Nililiaa ila nikajisemea moyoni huu ni ufala. Basi wee nikaamua kujifanya mjinga kwa jamaa ili walau na Mimi nirudishe vyangu... Hahahaha nilianza kumchuna Kama nimetumwa vile. Gia ya kwenda kuandaa makao kisha nimkaribishe kwangu kama ilivyotumika hapo juu ilisaidia sana kutimiza adhma yangu. Nina imani hela yangu ilirudi name chenji juu. Baada ya hapo wala sikujionesha Kama nilirudishwa na kisasi kikaenda enda kila MTU akajikataa. Kama utasoma hapa na utanistukia powa tu kwani na Mimi uliniliza. Since then ukija na gia ya kulia lia shida Mimi ndio zaidi...kwanza advertise ninajitambulisha Kama mtoto was Mkulima...
 
Hahaaa sitakiii kesho uniambie unaazima milioni (as if ninayo hata laki?

Lol..i meant hiyo hadisi hadisi ulotupigia ni ya uongo...hivyo 'naomba chenchi' au 'nishushe kituo kinachofuata' #fiksi
 
 
 
Hapana aisee

Ninavyoijua hela utadhani ina sura yangu....

Hahaha.......niruhusu kucheka then nasinzia. Mapenzi mabaya sana, hivi inakuwaje unachukua mkopo halafu unampa MTU? Daah kweli dada zangu huko si kupenda ni kupotea. Mwanaume yeyote lazima awe anawajibika kabisaaaaa siyo utani! Vinginevyo watalemaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…