Kimya hiki kina mshindo wake mkuu

Kimya hiki kina mshindo wake mkuu

Maneno yoote haya hala mumkaribishe Lowassa nitawadharau sana
na hasa wewe ukitumwa kuja kumtetea humu

Mleta hoja hajafafanua bali kawasilisha hoja yake kwa lugha ya kuwapa hamasa na kuwatia moyo wafuasi wa ukawa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwanini umekimbilia kwenye hoja ya Lowassa? Hajataja jina, lakini je ikiwa mgombea wa ukawa ni Lissu kwa mfano, hoja iliyowasilishwa itakuwa na mapungufu gani?

Tukirudi kwenye hoja yako juu ya Lowassa:

Ni wewe ambae umekuwa mmoja wa watetezi wakubwa wa msaliti Zitto.

Ni wewe, kama mmoja wa wafuasi wa zitto mmekuwa mkijenga sana hoja kwamba Chadema ikae chini na Zitto na ikubali kujiunga nae (ACT). Yani msaliti wa harakati za mageuzi, msaliti ambae rekodi ipo wazi kabisa jinsi gani alibeza umoja huu, eti ajiunge na UKAWA.

Ni wewe kama mmoja wa wafuasi wa Zitto, ulikaa kimya pale Zitto alipotafuta 'cheap popularity' kwa kutaja jina la lowassa na kulihusisha na ACT. Mlikaa kimya mkisubiri mshindo mkuu iwapo ndoto ya Zitto ingetimia.

Ukweli ulio dhahiri ni kwamba:
Kama Lowassa ataondoka CCM, hakika hawezi kwenda kujiunga na chama cha wasaliti cha ACT kwa sababu wananchi wengi wanazidi kuelewa jinsi gani chama hicho ni cha kitapeli, kuanzia hoja za kiongozi wake mkuu majukwaani hadi kwenye itikadi na maazimio ya chama hicho.

Ni dhahiri kwamba ndoto za Zitto hazitatimia kwa sababu Lowassa hawezi kufanya kosa la kujiunga na wasaliti wa watafuta mabadiliko.

Kwanini haukumjadili Lowassa na ACT kwa lugha hiyo pale zitto alipomkaribisha Lowassa ACT? Tofauti na Zitto, Tumaini Makene hajataja mgombea, lakini umekuwa mmoja wa wafuasi wa kwanza wa zitto kujadili "Lowassa".

Waachie wana ukawa wafanye maamuzi yao, watakaotoa hukumu ni wananchi, hasa wapiga kura, sio ACT na wafuasi wake waliopotea njia.
 
Mkitoka kwenye huo ukimya wenu mkaja na fisadi kuwa ndo mgombea urais wa ukawa mtakuwa mmejiloga wenyewe. Endeleeni kukaa kimya lakini waleteeni watanzani mtu anayekubalika na kuaminika.

Kwa taarifa yenu hata huyo LOWASSA ana uwezo wa kutuvusha kwenda nchi ya ASALI..

Mbona Obama alikuwa teja?

Jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Viva Dr Slaa.
 
Hakuna jipya hata moja!Tumesha yazoea! Hata labda magufuli ahamie ukawa yenu kamwe hamuwezi kuchukua dola! Punguzeni kujifanya mnaakili kuliko prof Lipumba,hamuwezi kumlaghai yule msomi!
Mleta hoja hajafafanua bali kawasilisha hoja yake kwa lugha ya kuwapa hamasa na kuwatia moyo wafuasi wa ukawa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwanini umekimbilia kwenye hoja ya Lowassa? Hajataja jina, lakini je ikiwa mgombea wa ukawa ni Lissu kwa mfano, hoja iliyowasilishwa itakuwa na mapungufu gani?

Tukirudi kwenye hoja yako juu ya Lowassa:

Ni wewe ambae umekuwa mmoja wa watetezi wakubwa wa msaliti Zitto.

Ni wewe, kama mmoja wa wafuasi wa zitto mmekuwa mkijenga sana hoja kwamba Chadema ikae chini na Zitto na ikubali kujiunga nae (ACT). Yani msaliti wa harakati za mageuzi, msaliti ambae rekodi ipo wazi kabisa jinsi gani alibeza umoja huu, eti ajiunge na UKAWA.

Ni wewe kama mmoja wa wafuasi wa Zitto, ulikaa kimya pale Zitto alipotafuta 'cheap popularity' kwa kutaja jina la lowassa na kulihusisha na ACT. Mlikaa kimya mkisubiri mshindo mkuu iwapo ndoto ya Zitto ingetimia.

Ukweli ulio dhahiri ni kwamba:
Kama Lowassa ataondoka CCM, hakika hawezi kwenda kujiunga na chama cha wasaliti cha ACT kwa sababu wananchi wengi wanazidi kuelewa jinsi gani chama hicho ni cha kitapeli, kuanzia hoja za kiongozi wake mkuu majukwaani hadi kwenye itikadi na maazimio ya chama hicho.

Ni dhahiri kwamba ndoto za Zitto hazitatimia kwa sababu Lowassa hawezi kufanya kosa la kujiunga na wasaliti wa watafuta mabadiliko.

Kwanini haukumjadili Lowassa na ACT kwa lugha hiyo pale zitto alipomkaribisha Lowassa ACT? Tofauti na Zitto, Tumaini Makene hajataja mgombea, lakini umekuwa mmoja wa wafuasi wa kwanza wa zitto kujadili "Lowassa".

Waachie wana ukawa wafanye maamuzi yao, watakaotoa hukumu ni wananchi, hasa wapiga kura, sio ACT na wafuasi wake waliopotea njia.
 
Leo ndio mnamuona fisadi?mbona hamjamfukuza uwanachama?

Kwa hiyo kumbe CHADEMA mlikuwa mnamhitaji MCHUKUENI
Post zako zote Lowassa alikuwa safi km angechaguliwa CCM sasa yupo kwenu, Lipumba CUF na Makufuli
haya ingizeni funguo km itaingia
 
Wakimruhusu Lowasa kugombea uraisi ukawa sinto piga kura tena!!Na sintojadili mada yoyote humu inayohusu siasa! Lowasa huyu upinzani wamekuwa wakimnanga miaka saba humu eti leo awe tunu kwao!!!!!
 
Kwa hiyo kumbe CHADEMA mlikuwa mnamhitaji MCHUKUENI
Post zako zote Lowassa alikuwa safi km angechaguliwa CCM sasa yupo kwenu, Lipumba CUF na Makufuli
haya ingizeni funguo km itaingia

Huja msikia kupitia ITV mzee kingunge anasema lowasa hakuhusika na ufisadi bali alijuzuru kuokoa taifa?sasa tutamchukua kingunge na lowasa
 
Kwa hiyo kumbe CHADEMA mlikuwa mnamhitaji MCHUKUENI
Post zako zote Lowassa alikuwa safi km angechaguliwa CCM sasa yupo kwenu, Lipumba CUF na Makufuli
haya ingizeni funguo km itaingia
Sasa tutamchukua na kingunge
 
Kwako wewe kama hawezi kwenda ACT atakwenda wapi? Na atakakokwenda atakuwa mwanamapinduzi, msaliti au fisadi?

Naona huoni kama Edo hatakuwa na shida kama tu atakuja na UKAWA, ingawa ni dhana ya kufikirika katika wasomi wengi kuwa kuna kitu UKAWA. Wewe usijifanye mgeni na siasa za TZ, imejaa ghiriba na ushezi kama unaotaka kujaribu kuaminisha watu. Hao jamaa yako wote wameka kimasilahi tangu walipoanza kujipanga 2006.

Mpaka sasa, wote waliopata nafasi ndani ya CDM ni tetea tu hakuna hata jogoo mle. na usitarajie kuzaa wala kutaga baada ya UKAWA kuvujika. Naomba Mungu isitokee.

Cha msingi, Edo unayetaka kumonyesha anafaa kama ataenda CDM na si ACT, wote ni wezi. Kinachotakiwa CCM iondoke ila si kwa kumtumia huyo jamaa yako.
Mleta hoja hajafafanua bali kawasilisha hoja yake kwa lugha ya kuwapa hamasa na kuwatia moyo wafuasi wa ukawa katika kipindi hiki cha uchaguzi. Kwanini umekimbilia kwenye hoja ya Lowassa? Hajataja jina, lakini je ikiwa mgombea wa ukawa ni Lissu kwa mfano, hoja iliyowasilishwa itakuwa na mapungufu gani?

Tukirudi kwenye hoja yako juu ya Lowassa:

Ni wewe ambae umekuwa mmoja wa watetezi wakubwa wa msaliti Zitto.

Ni wewe, kama mmoja wa wafuasi wa zitto mmekuwa mkijenga sana hoja kwamba Chadema ikae chini na Zitto na ikubali kujiunga nae (ACT). Yani msaliti wa harakati za mageuzi, msaliti ambae rekodi ipo wazi kabisa jinsi gani alibeza umoja huu, eti ajiunge na UKAWA.

Ni wewe kama mmoja wa wafuasi wa Zitto, ulikaa kimya pale Zitto alipotafuta 'cheap popularity' kwa kutaja jina la lowassa na kulihusisha na ACT. Mlikaa kimya mkisubiri mshindo mkuu iwapo ndoto ya Zitto ingetimia.

Ukweli ulio dhahiri ni kwamba:
Kama Lowassa ataondoka CCM, hakika hawezi kwenda kujiunga na chama cha wasaliti cha ACT kwa sababu wananchi wengi wanazidi kuelewa jinsi gani chama hicho ni cha kitapeli, kuanzia hoja za kiongozi wake mkuu majukwaani hadi kwenye itikadi na maazimio ya chama hicho.

Ni dhahiri kwamba ndoto za Zitto hazitatimia kwa sababu Lowassa hawezi kufanya kosa la kujiunga na wasaliti wa watafuta mabadiliko.

Kwanini haukumjadili Lowassa na ACT kwa lugha hiyo pale zitto alipomkaribisha Lowassa ACT? Tofauti na Zitto, Tumaini Makene hajataja mgombea, lakini umekuwa mmoja wa wafuasi wa kwanza wa zitto kujadili "Lowassa".

Waachie wana ukawa wafanye maamuzi yao, watakaotoa hukumu ni wananchi, hasa wapiga kura, sio ACT na wafuasi wake waliopotea njia.
 
Hakuna jipya hata moja!Tumesha yazoea! Hata labda magufuli ahamie ukawa yenu kamwe hamuwezi kuchukua dola! Punguzeni kujifanya mnaakili kuliko prof Lipumba,hamuwezi kumlaghai yule msomi!

Dr slaa ndiye habari ya mujini,
 
Kimya Kimya kina mshindo mkuu, ndivyo wambavyo wavyele;



Makene
Shahiri fikirishi na uchambuzi uliobeba umakini na ufasahay wa ujumbe. Lakini bahati mbaya kwa wale ambao ni scarcit y minded wanaotafuta ushindi kwa hila na kwa faida ya yao na wenzi wao ujumbe huu ni kikwazo. Usikate tamaha na wale wanaobeza na wenye double standards mfano mtu mzima anadiriki kusema mimi ni mpinzani, siipendi CCM lakini kwa uamuzi huu nitampigia kura mgombea wa CCM. Sina tatizo na watu hawa ila nina tatizo na their 4 attributes of physical, mind, sprit and heart. Wachambuzi wa aina yako wanatakiwa katika kipindi hiki ili tuienzi falsafa na hitikadi na sio watu
 
Mkuu Wangu Makene kwa wale ma Mbumbumbu wa Mtaa wapili hapo wameangukia pakavu naumia

Mpiganaji Chademakwanza

Sifa nilizojaribu kujadili kwenye mnakasha huu za Mgombea wa UKAWA ambaye umma wa Watanzania una hamu ya kusikia jina lake likitajawa ni mtu ambaye amekuwa na watu katika hali mbalimbali. Mtu ambaye anapaswa kuwa amesimama na Watanzania.

Sifa za mtu atakayekuwa kiongozi badala ya 'ofisa miradi' watu wa CCM hawawezi kuelewa.

Wamezoea marais wanaotokana na chama chao kuwa watu wanaozungumza vitu rahisi rahisi kama kutaja idadi ya miradi au kuahidi matrekta madogo nchi nzima!

Si ajabu akili zao zimewatuma kukimbilia kutaja Lowassa ambaye naye eti akitaka kuonesha kuwa ni Kiongozi huwa anasema alibomoa uzio wa mabati yaliyojengwa na mhindi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom