cDNA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 353
- 348
Habari zenu bandugu!
Hebu wale waliowahi kufundishwa na wazungu mpite hapa kutoa ushuhuda wenu wa siku zenu za awali mlivyokuwa mkipokea pindi la mzungu...
Binafsi naanza kutoa ushuhuda wangu pale tulipokuwa A-level ktk moja ya shule za serikali tukipigishwa Inorganic Chemistry na mwalimu wa Kimarekani wa kujitolea aliyekuwa akiitwa Sir Briszzcky. Jamaa alikuwa hamisi pindi na hachelewi hata dkk1 ila wengi tulikuwa twatoka kapa kutokana na ung'eng'e wake na hivyo kudoji pindi zake kwa madai ya kuwa jamaa alikuwa shallow...!
Hebu wale waliowahi kufundishwa na wazungu mpite hapa kutoa ushuhuda wenu wa siku zenu za awali mlivyokuwa mkipokea pindi la mzungu...
Binafsi naanza kutoa ushuhuda wangu pale tulipokuwa A-level ktk moja ya shule za serikali tukipigishwa Inorganic Chemistry na mwalimu wa Kimarekani wa kujitolea aliyekuwa akiitwa Sir Briszzcky. Jamaa alikuwa hamisi pindi na hachelewi hata dkk1 ila wengi tulikuwa twatoka kapa kutokana na ung'eng'e wake na hivyo kudoji pindi zake kwa madai ya kuwa jamaa alikuwa shallow...!