Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,103
- 31,018
Na huba likikolea hakuna kitu utasikia..Hata kukupost mara moja kwa mwaka hutaki? Mimi nisingefuta hiyo picha jamani. Kuna muda huba linakukolea, unatamani umtambulishe mwenzio kwa dunia nzima
Ila ndiyo hivyo..Hawa Watoto wa Mama Mkwe Hawapendi kupostiwa..