pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,275
- 3,075
Vijana tafuteni pesa hawa madada wa mjini wao wanatafuta fame nakurusha roho ma x wao aibu sana mapenzi ya mitandaoni lakini nyumbani kila mtu na lake.
Anaogopa matukio dabodabo
Mimi mwenyewe sipendi kupost wangu sio kwamba naogopa hapana acha tu awe malaya account yangu ni personal sana.Wanaume walivyo malaya weee ni halali wasipende
Tunatofautiana ila msihalalishe eti ooh hawapendi kupostiwa tujuane tabia tu kama ni mali ya jamii sawaMimi mwenyewe sipendi kupost wangu sio kwamba naogopa hapana acha tu awe malaya account yangu ni personal sana.
Nasema uongo ndugu yangu
Sema neno usicheke tu
Mimi Mara ya mwisho kuposti picha yangu mtandaoni 2015 since then sijawahi posti sehumu yeyote Wala Sina mzuka huoKwa kweli binamu. Wengine hawataki kupostiwa wanajua utawaharibia makoloni yao. Nakumbuka kuna rafiki yangu alimposti babe kwenye status; weee wacha jamaa awake eti ooh "nyumbani kwetu wakijua itakuwaje, ni familia ya dini sana". Best akamwambia huko home kwenu hakuna anayenijua wala kuwa na namba yangu. Basi muda sio mrefu best alifanikiwa kuwajua wake wenzie wengi tu teh
NishasemaSema neno usicheke tu
wapo wanaoficha wasijulikane ila majority tu huwa naona hawapendi ma selfieTunatofautiana ila msihalalishe eti ooh hawapendi kupostiwa tujuane tabia tu kama ni mali ya jamii sawa
Ila Resty ana sura nzuri sana. Sema amenepa sana mpk amevimba matamvua kama samaki sasa akipiga picha ya karibu ndo utamuona vzr. But she is beutiful,I like her smile though.Wanawake msiwe wanene sana
Mnaona mwenzenu ni mzuri wa sura ila unene unamfanya a loose confidence Hadi kutaka kukimbizana na watu mitandaoni
She is gorgeous and chubbyIla Resty ana sura nzuri sana. Sema amenepa sana mpk amevimba matamvua kama samaki sasa akipiga picha ya karibu ndo utamuona vzr. But she is beutiful,I like her smile though..
Kwa Raha zake ..😂😂😂Si aliambiwa ana ukimwi ndo mkae mjue ameolewa anapendwa na kuzaa amezaaa hahahhaaah Instagramaaa
Mimi Mara ya mwisho kuposti picha yangu mtandaoni 2015 since then sijawahi posti sehumu yeyote Wala Sina mzuka huo
U know herIla Resty ana sura nzuri sana. Sema amenepa sana mpk amevimba matamvua kama samaki sasa akipiga picha ya karibu ndo utamuona vzr. But she is beutiful,I like her smile though..
Not face to face but through instagram photos. Why?U know her
You describe her very wellNot face to face but through instagram photos. Why?
AhaaaaaaYou describe her very well
Lazima afanye hivyo sababu Instagram ni biashara kwake. Anapata hela nyingi Sana kupitia instagram, anatumia Ile platform kuuza bidhaa zake.Zamani nilipost sana,ila tangu Magufuli aisee nimezifuta picha na sipost naingia tu kuona yanayoendelea,nadhani unavyokua na Mambo yanabadilika ule huyo Resty yeye ndo kama anaanza upya.
SureMadhara ya mwanaume kutegemea hela ya mwanamke lazima akupelekeshe na kukufanya mjinga. Tunarudi pale pale wanaume tutafute hela,husitegemee wala kuipigia mahesabu hela ya mwanamke.