Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,661
- 9,495
Mbulu yule hakunaga mchaga anaitwa Bura.Wachaga mmekuaje?
Mbulu yule hakunaga mchaga anaitwa Bura.Wachaga mmekuaje?
Ahaaa
Huhuuuu nikajua sherehe yake maana keki ilivyopelekwa kwa mbwembwee
Senior Advocate yule Ni mpalestinaMbulu yule hakunaga mchaga anaitwa Bura.
Zombi alitokea Kama katumwa vileAhaaa
Huhuuuu nikajua sherehe yake maana keki ilivyopelekwa kwa mbwembwee
Lakin ndio hivyo furaha jipe mwenyeweZombi alitokea Kama katumwa vile
Ila unakua muongo kupitiliza mpaka unasahau kuwa unajidanganyaLakin ndio hivyo furaha jipe mwenyewe
😂😂😂😂Ila unakua muongo kupitiliza mpaka unasahau kuwa unajidanganya
Anamashauzi mpaka anakera, mie nililazimika kumpa block insta baada ya kuchoshwa na mashauzi yakeYale mazoezi aliyokuwa anafanya anakimbiza nyama zake sijui yameishia wapi maana ndio amezidi kuwa voluminous.
These people wanatakiwa wapumzike kujiweka mitandaoni, after all sio celebrity kihivyo ni muuza kitimoto na vipodozi vya kujichubua ngozi labda na papuchi aliyokuwa anauza zamani sasa hivi haina ishu tena.
She is sick, hayo Mambo anapaswa kufanya mwanae maana ana mtoto mkubwa sasa siku sio nyingi tunaanza kumparamka kama Paula
Kwa chuki hii Umeshafuzu kutoka Unafiki kuelekea UchawiAnamashauzi mpaka anakera, mie nililazimika kumpa block insta baada ya kuchoshwa na mashauzi yake
sidhani wanaume hawapendi mapicha picha ka sisi wanawake, wangu nilimpiga kisiri yeye hajui kuwa ninayoHawapendi kwasababu wana wanawake wengi inawaharibia
resty sio mzima na huyo mumewe aiseeAhaaa
Huhuuuu nikajua sherehe yake maana keki ilivyopelekwa kwa mbwembwee
Wanawake walivyokua na wivu watajilengesha kwa jamaa wagongwe ilimradi kumkomoa mwenzao.It was staged anatumia nguvu nyingi kuonyesha kuwa inapendwa kumbe holla
Nilijichanganyaga kumfollow siku nyingi nikaona ananichosha nikamu-unfollow kwanza ananichefuaga tu, hata akila ukwaju anapiga picha!Anamashauzi mpaka anakera, mie nililazimika kumpa block insta baada ya kuchoshwa na mashauzi yake
Kipindi kile alikuwa pisi haswa akaishia kwa akina Etoo na wauza unga.Daah! Nimemkumbuka Resty wa enzi zile anasoma Zanaki. Alikua wa moto
Hahaaa wengine watamfata vile wanaona ana care au wengine kumkomoa tu resty.Wanawake walivyokua na wivu watajilengesha kwa jamaa wagongwe ilimradi kumkomoa mwenzao.
Tuishi nao kwa akili hawa viumbe
Sana...ila sijui kawaje au anasniff?Ila Resty huwa ana roho nzuri sana.. Haya mambo ya mtandao ndiyo ameshindwa kuji'control.